Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Mstaafu wa Hesabu za Serikali afariki Dunia

Vingozi mbali mbali wa serikali waliohudhuria katika sala ya kumsalia maiti Waumini wa dini ya kiislamu  wakiwa kwenye hatuwa ya mwishi ya kumsindikiza ndugu yao katika makaburi ya kisutu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Mstaafu wa Hesabu za Serikali wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa  Tanzania Bwana Mohd Aboud Mohd aliyefariki Dunia Nchini India  amezikwa katika makaburi ya Wangazija

[ Read More ]