Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

KIBAKA AHARIBIWA SURA KATIKA NYUMBA YA BONDIA.

Gregory McCalium kabla na baada ya kupewa kichapo na babu ambaye ni bondia mstaafu Kibaka aliyezamia kwenye nyumba ya babu mmoja nchini Uingereza mwenye umri wa miaka 72 na kuanza kumtishia kwa kisu bila kujua kwamba babu huyo alikuwa ni bondia mstaafu, aliambulia kipigo kilichoichakaza sura

[ Read More ]

SIMU ZA MKONONI ZAANZA KUSAJILIWA TZ.

ZOEZI la kusajili simu za mkononi kwa wananchi linaanza leo rasmi ili kudhibiti wimbi la wizi la bidhaa hizo nchini. Zoezi hilo liliazimiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania [|TCRA] ili kuondoa kero zote zinazohusiana na zinazotokana na simu hizo za mkononi nchini.Akitoa tamko hilo

[ Read More ]

Mtoto wa miaka 14 ndio Abiria Pekee Aliyenusurika Ajali ya Yemen Airways

Mtoto wa miaka 14 ndiyo mtu pekee aliyenusurika kwenye ajali ya ndege ya Yemen Airways (Yemenia) ambayo ilidondoka jana kwenye bahari ya hindi ikiwa na jumla ya watu 153.

[ Read More ]