Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

INNAA LILAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJI'UN - MAULID MOHAMMED MACHAPRALA HATUNAYE TENA


 Waumini wa kiislamu wakiomba duwa baada ya kumsalia
 Baadhi ya waumini waliohudhuria mazikoni wakiitikia duwa iliyokuwa ikiombwa kumuombewa Mzaa Machaprala

 Sehemu ya umati wa waumini waliohudhuria mazishi wakijipanga kwa ajili ya kuliupokea jeneza lililobeba mwili wa Ustaadh Machaprala

WANANCHI wakibeba jeneza lenye mwili wa Marehemu Maulid Machaprala baada ya kusaliwa msikiti Nambari Mwembetanga baada ya sala ya Ijumaa,
[ Read More ]

DK SHEIN ASHIRIKI MAZISHI YA MACHAPRALA



 Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akishiriki na waumini wengine wa dini ya kiislamu kusalia Jeneza la marehemu Msanii Mzee Maulid Mohammed Machaprala, katika msikiti Nambar,Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.


 Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein,alishiriki  katika mazishi ya Msanii maarufu wa muziki wa Taarab,Maulid Mohamed Machaprala,aliyefariki na kuzikwa jana kijijini Bambi,wilaya ya kati Unguja,pichani Dk  Shein,akitia udongo katika kaburi kama isharakatika mazishi hayo.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pichani na waislamu wengine wakishuhudia harakati za mazishi ya Msanii Maarufu wa muziki wa Taarab,Maulid Mohamed Machaprala,aliyezikwa kijijini Bambi wilaya ya kati Unguja leo.


Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
[ Read More ]