
Lulu (katikati) akiingia mahakamani na askari magereza wa kike. Kamera zikimfuata kwa shauku. Hapa ni karibu na mlango wa kuingia katika chumba cha mahakama. Msanii wa filamu za maigizo nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, leo amepandishwa tena kizimbani mara ya tatu katika kesi ya mauaji ya Kanumba inayomkabili ambapo mawakili wanaomtetea wakiongozwa na Kennedy Fungamtama waliwasilisha ombi la