Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAHAKAMA YATUPILIA MBALI OMBI LA LULU

Lulu (katikati) akiingia mahakamani na askari magereza wa kike. Kamera zikimfuata kwa shauku. Hapa ni karibu na mlango wa kuingia katika chumba cha mahakama. Msanii wa filamu za maigizo nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, leo amepandishwa tena kizimbani mara ya tatu katika kesi ya mauaji ya Kanumba inayomkabili ambapo mawakili wanaomtetea wakiongozwa na Kennedy Fungamtama waliwasilisha ombi la

[ Read More ]

MKAPA KIZIMBANI MAHAKAMA YA KISUTU

Mkapa akiingia Mahakama ya Kisutu kutoa ushahidi. Akisindikizwa kuelekea kizimbani. Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, leo amepanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuhojiwa na mawakili wa serikali na wanaomtetea aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Italy, Costa Mahalu, kwenye kesi ya ufujaji fedha katika ununuzi wa jengo la ubalozi inayomkabili

[ Read More ]