Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MCHUMBA WA PREZZO, GOLDIE WAFARIKI DUNIA




Goldie Harvey enzi za uhai wake.
Goldie akiwa na mchumba wake Prezzo.
MWANAMUZIKI kutoka nchini Nigeria, Goldie Harvey ambaye pia ni mchumba wa msanii Prezzo amefariki dunia.

Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya nchini Nigeria, Goldie amefariki dunia akiwa hopitalini nchini humo muda mfupi baada ya kutoka nchini Marekani alipohudhuria tuzo za Grammys. Prezzo hakupatikana kudhibitisha tukio hilo,…
Goldie Harvey enzi za uhai wake.
Goldie akiwa na mchumba wake Prezzo.
MWANAMUZIKI kutoka nchini Nigeria, Goldie Harvey ambaye pia ni mchumba wa msanii Prezzo amefariki dunia.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya nchini Nigeria, Goldie amefariki dunia akiwa hopitalini nchini humo muda mfupi baada ya kutoka nchini Marekani alipohudhuria tuzo za Grammys. Prezzo hakupatikana kudhibitisha tukio hilo, lakini mtu anayesimamia uwekaji habari katika ukurasa wa Facebook wa msanii huyo alidhibitisha kuwa msanii huyo amefariki dunia usiku wa kuamkia leo na kuandikia hivi “Kwa masikitiko makubwa napenda kuwataarifu wote kuwa Goldie amefariki dunia muda mfupi baada ya kuwasili jijini Lagos akitokea Marekani. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi,” Alisema mwekaji habari huyo.
Sababu zilizopelekea kifo cha msanii huyo mpaka sasa bado hazijafahamika.
[ Read More ]