Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Breaking news:

   Kamati kuu ya CCM iliyofanya mkutano wake leo jioni mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete, imempitisha Mohamed Raza kuwa mgombea wa kiti cha uwakilishi jimbo la Uzini, Unguja kwa tiketi ya chama hicho. Kamati hiyo imempitisha baada ya mchuwano mkali na kuwepo kwa njama za kumtema Raza huku wapinzani wake wakidai kuwa Raza hana elimu ya kidato cha nne, ana uraia wa nchi mbili, na kwamba, haiwezekani kuongozwa na mhindi. bila shaka Raza hivi sasa atapokea habari hizo kwa shangwe kubwa baada ya kupitishwa. uchaguzi mdogo unafanyika Feb 12 mwaka huu.
[ Read More ]