Jaji Mkuu wa Zanzibar(aliyestaafu leo) Hamid Mahmoud akifafanua jambo wakati akizungumza mara baada ya kuwaapisha Mahakimu wa Mkoa, Wilaya na Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar jana(kulia ni Wakili maarufu, Hamid Mbwezeleni) Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud (kulia) akimwapisha Mrajis wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, George Joseph Kazi ( katikati) katika sherehe fupi zilizofanyika Mahakama
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akimwapisha Othman Masoud Othman kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ikulu. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu, Othman alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka (DPP).RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akimwapisha Omar Othman Makungu kuwa Jaji wa Mahakama

UNENE wa Alan Belmont umesababisha madaktari washindwe kuuona moyo wake. Kijana huyo alishtuka baada ya madaktari kumweleza kuwa mashine zao hazikuwa na uwezo wa kupenya kwenye 'manyama nyama' yake ili kufahamu mapigo ya moyo. Soma hapo chini A man who weighs 34 stone has finally decided to lose weight after doctors were unable to detect his heart beat because he was so FAT. Alan Belmont,