Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

JAJI MKUU ZANZIBAR AWAAPISHA MAHAKIMU, MRAJIS


 Jaji Mkuu wa Zanzibar(aliyestaafu leo) Hamid Mahmoud akifafanua jambo wakati akizungumza mara baada ya kuwaapisha Mahakimu wa Mkoa, Wilaya na Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar jana(kulia ni Wakili maarufu, Hamid Mbwezeleni)
  Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud (kulia) akimwapisha Mrajis wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, George Joseph Kazi ( katikati) katika sherehe fupi zilizofanyika Mahakama Kuu jana Mjini Zanzibar
 Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud (kulia) akimwapisha Valentina Adrew Katemar kuwa Hakimu wa Mahakama ya Mkoa (wa katikati) huku Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar George Joseph Kazi kulia akishuhudia

Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud (kulia) akimwapisha  Fatma Muhsin Omar kuwa Hakimu wa Mahakama ya Mkoa (katikati) huku Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar George Joseph Kazi

(wa kwanza kushoto) akishuhudia.

Picha zote na Hamad Hija ,MAELEZO Zanzibar
[ Read More ]

DK SHEIN AFANYA MABADILIKO AMTEUA MAKUNGU JAJI WA MAHKAMA KUU, OTHMAN MWANASHERIA MKUU


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akimwapisha Othman Masoud Othman kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ikulu. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu, Othman alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka (DPP).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akimwapisha Omar Othman Makungu kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika hafla iliyofanyika leo Ikulu. Omar alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kabla ya kuteuliwa Jaji wa Mahkama Kuu.

Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
[ Read More ]

Unene wasababisha moyo usionekane



UNENE wa Alan Belmont umesababisha madaktari washindwe kuuona moyo wake.


Kijana huyo alishtuka baada ya madaktari kumweleza kuwa mashine zao hazikuwa na uwezo wa kupenya kwenye 'manyama nyama' yake ili kufahamu mapigo ya moyo.


Soma hapo chini


A man who weighs 34 stone has finally decided to lose weight after doctors were unable to detect his heart beat because he was so FAT.

Alan Belmont, 24, was shocked when doctors told him they could not find his pulse despite using a stethoscope and even an ultra-sound machine.

Doctors told him the hospital's machines were not powerful enough to penetrate his thick layer of blubber.


Belmont claims he piled on the pounds after suffering from asthma as a child.


Medics eventually found a weak pulse under his arm and were able to give him a reading.

But the experience shocked Mr Belmont, who wears a staggering XXXXXL clothing, into losing weight.

Mr Belmont, from Worcester, has set himself the incredible target of losing 20 STONE - nearly half his body weight.

He said: 'I went to the hospital recently and they told me they couldn't find my heart and I thought to myself

"I'm a dead man walking."

'They could not even find it using an ultra sound, which is what they use on pregnant women.
'I was quite embarrassed when the doctors said they couldn't find my pulse. It suddenly hit me that I had to make a drastic change to my life and lose weight.

'When I get in cars I can't get the seatbelt on so I would like to get myself fit. I would just like to be a normal person again.'
[ Read More ]