Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

SHAMSI VUAI NAHODHA - KUTOKA UULEDI HADI UNAHODHA

Kutoka Uuledi hadi Unahodha Katika viongozi waliobahatika kuteuliwa katika nyadhifa kubwa na huku wakiwa na umri mdogo ni Mheshimiwa Shamsi Vuai Nahodha. Katika mwaka 2000 akiwa na umri wa miaka 38 tu, alikabidhiwa moja ya vyeo vya juu kabisa katika nchi ya Zanzibar kwa kuteuliwa na Rais wa wakati huo Aman Abeid Karume kuwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Waziri Kiongozi kikatiba

[ Read More ]