Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

VODACOM YAZINDUA NEMBO MPYA.

Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, leo imezaliwa upya kwa kuzindua nembo na rangi mpya za kampuni yake na kuahidi kuboresha huduma zake kwa wateja wake. Akiongea mbele ya waalikwa mchana huu katika hoteli ya Kempinski, Mkurugenzi Mtendaji Bw. Dietlof Mare(pichani) alisema kuwa kampuni yake siyo tu imebadilisha rangi, bali imeboresha na huduma zake pia, kuanzia mawasiliano ya simu hadi M-pesa.
...Bw. Mare akiongea mbele ya wanahabari
...mbele ya jukwaa maalum muda mfupi kabla ya uzinduzi rasmi
..Mkurugenzi wa Radio One/ITV  Bi. Joyce Mhaville akiwa na Mkurugenzi wa Star TV/Radio Free Africa, Samuel Nyalla
baadhi ya wageni waalikwa
....baadhi ya wageni waalikwa
wanahabari Willy edward (kushoto), Gerald Hando na Bi. Regina Mwalekwa....mwana Blog...Haki Ngowi (kulia)
...kuzaliwa kwa Vodacom Tanzania
...burudani ya ngoma
,,,ufuatiliaji makini wa tukio la uzinduzi
...burudani ya muziki
mwimbaji Carola KinashaBi. Mwamvita Makamba with a smile baada ya uzinduzi wa rangi mpya wa kampuni yake
source:gpl

[ Read More ]

HAPPY MOTHER'S DAY.





Many hugs, Only luv never anger, Teaching me,Helping me, Every smile when I was sad, 

Raising me to be strong, It spells Mother. Thanks for being u.love u mama happy-mother's 

day.
[ Read More ]