Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

RAIS KIKWETE AMTEUA RASMI DR GHALIB BILAL KUWA MGOMBEA MWENZA



Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia chama cha Mapinduzi CCM rais Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dr. Ghalib Bilal kutoka Zanzibar kuwa mgombea mwenza kupitia CCM kwenye uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi ujao utakaofanyika Oktoba mwaka huu na kupelekea ukumbi mzima wa Chimwaga kulipukwa na mayowe ya vifijo na nderemo.
[ Read More ]