Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

HALI INAZIDI KUWA MBAYA DAR-ES-SALAAM. POLE KWA WALIOPOTELEWA NA NDUGU ZAO PAMOJA NA MALI



Maji yakiwa yamelizingira jengo la Mayfair Plaza.

Jengo la hospitali ya TMJ likiwa limezingilwa na maji.
Mtoto kikwea ukuta kujisalimisha.

Baadhi ya wafanya biashara wa vocha katika eneo la Mayfair Plaza wakiwa juu ya vibanda…
Maji yakiwa yamelizingira jengo la Mayfair Plaza.

Jengo la hospitali ya TMJ likiwa limezingilwa na maji.
Mtoto kikwea ukuta kujisalimisha.
Baadhi ya wafanya biashara wa vocha katika eneo la Mayfair Plaza wakiwa juu ya vibanda vyao.
Wasamaria wema wakitoa msaada  kusukuma gari baada ya kuzimikia
kwenye maji.
Lango kuu la kuingia ofisi za Tanesco Mikocheni likiwa limezingirwa maji.
Ukuta wa jengo la Tanesco ukiwa umezingirwa maji.
Nyumba ikiwa imejaa maji.
Vijana wakisuribi maji yapunguwe waweze kupita.
Barabara kuelekea kwenye nyumba ya Mwalimu Julius Nyerere kiwa
imejaa maji.

 


Hapa ni mahali ambapo pamewekwa uzio ili kuzuia watu kuvuka ng'ambo yaani uapnde wa pili.
 Hali ni mbaya katika barabara ya Morogoro eneo la Jangwani ambapo kwa muda mrefu watu wamekuwa wakiishi hapo, japokuwa serikali imekuwa ikiwaambia hawatakiwa mkujenga katika eneo hilo kutokana na madhara yanayoweza kutokea endapo mvua zitanyesha,Lakini hali ndivyo ilivyo kwa sasa.
Akinamama hawa wakilia baada ya kuokolewa kwenye maji hapa walikuwa wakielekea kupanda gari tayari kwa kuwapeleka hospitali ya muhimbili kwa uangalizi zaidi wa afya zao.Ni  watu wakiokooa vitu vyao na kuviweka kando ya barabara ya Morogoro.
Baadhi ya nyumba zikiwa zimezingirwa kabisa na maji katika eneo la Jangwani.








[ Read More ]