Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Kumbukumbu ya kutimiza miaka 13 ya kifo cha Baba yetu Mzee Mustafa Katuli.



Ni miaka kumi na tatu (13) tangu ututoke baba yetu mpendwa Mustafa Katuli.Unakumbukwa sana na watoto wako Farida,Othman,Maana,Khadija na Rehema. pia na Ndugu,jamaa na marafiki zako,Tulikupenda sana ila Mungu amekupenda zaidi. Allah akulaze mahala pema peponi. Amin.
[ Read More ]