Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MORNING, HAVE A NICE DAY.

[ Read More ]

WAZANZIBARI WATUHUMIWA KUGHUSHI KWENYE ATM - CARDIFF

Polisi wa mji wa Cardiff nchini Uingereza wanawachunguza walimu watatu kutoka Zanzibar ambao wanahusishwa na mpango wa kujaribu kughushi katika moja ya mashine za ATM. Mashine hiyo iliwekwa kifaa kinachoweza kukopi namba za siri (PIN numbers) na kuwekwa katika mtaa mmoja wa Working huko mjini Cardiff. Polisi walijulishwa kuwepo kwa mpango huo na kuwakamata watu watatu wenye umri wa miaka 51, 28 na

[ Read More ]

KIKAO CHA BARAZA CHA KUWACHAGUWA WABUNGE WATANO WATAKAOLIWAKILISHA BARAZA BUNGENI

Spika wa Baraza la Wawakilishi Mheshimiwa Pandu Ameir Kificho akiwajibika WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa Chama Cha  Mapinduzi wakifuatilia kikao cha asubuhi. WAJUMBE wa Baraza wa Chama cha CUF  wakiwa katika kikao cha asubuhi kikiendelea. MAKAMO wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi  Seif Ali Iddi akitowa hoja ya kuahirishwa kikao cha baraza hadi  Januari 19, 2011.SPIKA

[ Read More ]

Kama DC Mstaafu Anatendwa Hivi,Mlalahoi Je?

Raymond KaminyogeTANGU Machi mwaka jana alipostaafishwa kazi na  Rais Jakaya Kikwete,  akiwa Mkuu wa Wilaya ya Mbalali, Mbeya, Hawa Ngulume amekuwa  haonekani hadharani wala kusikika kwenye vyombo vya habari kama tulivyomzoea. Tunakumbuka jinsi alivyoendesha operesheni ya  kuwaondoa wafugaji  katika Bonde la Ihefu wilayani humo na kusababisha  habari zake kutawala  kwenye

[ Read More ]

Dk. Shein Alipozindua Baraza La Wawakilishi Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Serikali. Kushoto kwake ni Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho, Makamo wa Pili wa Rais wa ZANZIBAR Balozi Seif Ali Iddi na kuume kwake ni Jaji Mkuu wa Zanzibar Mh. Hamid Mahmoud na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh. Seif Shariff Hamad. Hapo wapo nje ya ukumbi

[ Read More ]

JK Amtumia Salamu Za Pongezi Spika Anne Makinda

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za Pongezi Mheshimiwa Anne Makinda kwa kuchaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika salaam zake,Rais amesema,Spika Makinda amechaguliwa kwa sababu ya uwezo wake,uzoefu na umakini wake.“Ninakuahidi ushirikiano wangu katika shughuli zako za bunge na za kujenga nchi yetu kwa ujumla”Rais Amesema na kuongeza kuwa kuchaguliwa kwa

[ Read More ]

Wah. Wabunge Wakila Kiapo Bungeni Leo

Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda akiingia Bungeni baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo mjini Dodoma.Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda akila kiapo cha kuwa mbunge wa jimbo la Mpanda Mashariki ndani ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.Waziri Mkuu mstaafu Mh. Edward Lowassa akila kiapo cha kuwa Mbunge wa jimbo la Monduli ndani ya Ukumbi

[ Read More ]