Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mahafali ya nane ya Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa tatu kulia) pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA),pamoja na Viongozi wengine wa Chuo hicho wakiwa katika maandamano wakati mahfali ya nane yaliyofanyika leo katikakampasi ya Tunguu  Baadhi ya Viongozi wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walioalikwa katika sherehe za Mahafali

[ Read More ]