Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mahafali ya nane ya Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar.



 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa tatu kulia) pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA),pamoja na Viongozi wengine wa Chuo hicho wakiwa katika maandamano wakati mahfali ya nane yaliyofanyika leo katika
kampasi ya Tunguu
 Baadhi ya Viongozi wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walioalikwa katika sherehe za Mahafali ya nane ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) zilizofanyika leo katika kamapasi
ya Tunguu,Mkoa wa Kusini Unguja
 Baadhi ya Viongozi wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walioalikwa katika sherehe za Mahafali ya nane ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) zilizofanyika leo katika kamapasi
ya Tunguu,Mkoa wa Kusini Unguja
 \Baadhi ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa hutuba yake baada ya kuwatunuku Shahada,katika sherehe za Mahafali ya nane ya chuo zilizofanyika
huko katika kampasi ya Tunguu leo.
 Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wa fani mbali mbali wakiwa katika maandamano ya sherehe za mahafali ya nane ya chuo hicho zilizofanyika leo katika kampasi ya
Tunguu,Mkoa wa Kusini Unguja
 Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ngazi ya Stashahada ya Lugha na Elimu, wakati walipokuwa wakitunukiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia) pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), katika sherehe za mahafali ya nane ya Chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu

 Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wakivaa kofia zao baada ya kutunukiwa shahada na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) , wakati wa mahfali ya nane ya chuo hicho yaliyofanyika leo huko kamapasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini
Unguja .

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa zawadi kwa mwanafunzi bora katika fani ya
Cheti cha ukutubu kwa Nyezuma Hassan Juma,katika sherehe za Mahafali ya nane ya Suza,huko katika kampasi ya Tunguu leo
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa zawadi kwa mwanafunzi bora katika fani ya
Shahada ya Sanaa na Elimu, kwa Sabrina Saidi Rashid,katika sherehe za Mahafali ya nane ya Suza,huko katika kampasi ya Tunguu leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa zawadi kwa mwanafunzi bora katika fani ya Cheti cha Teknolojia ya Habari,(IT) kwa Lukuman Mohamed Bachu,katika sherehe za Mahafali ya nane ya Suza,huko katika kampasi ya Tunguu leo
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa zawadi kwa mwanafunzi bora katika masomo ya
Elimu Ngazi ya Shahada Stephen Syepwa,katika sherehe za Mahafali ya nane ya Suza,huko katika kampasi ya Tunguu leo
 \Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa hutuba yake baada ya kuwatunuku Vyeti,Shahada na Stashahada,wa fani mbali mbali wahitimi wa Chuo Kikuu cha SUZA,katika
sherehe za Mahafali ya nane ya chuo hicho ,zilizofanyika huko katika kampasi ya Tunguu leo

 Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Profisa Idriss Ahmada Rai,akiteta jambo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA),wakati wa Maandamano ya sherehe za mahfali ya nane ya chuo hicho zilizofanyika katika kampasi
ya Tunguu leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati)pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA),pamoja na Viongozi wengine wa Chuo hicho wakiwa katika picha ya pamoja na wanataaluma waliohitimu fani mbali mbali,baada ya
kutunukiwa Vyeti,Shahada na Stashahada,katika mahfali ya nane yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu.
[ Read More ]