Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Rolls Royce la Thamani Kubwa...Lakini Kamwe Hutatamani Kulipanda

function googleTranslateElementInit() { new google.translate.TranslateElement({ pageLanguage: 'sw', layout: google.translate.TranslateElement.InlineLayout.SIMPLE }, 'google_translate_element'); } summary_noimg = 500; summary_img = 350; img_thumb_height = 120; img_thumb_width = 150; //![CDATA[ function

[ Read More ]

Have a nice day

[ Read More ]

Serikali Kutafuta Mwekezaji Eneo la Mangapwani

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inatafuta mwekezaji mwengine katika eneo la Mangapwani wilaya ya kasikazini “B” Unguja baada ya Shirika la Agakhan Foundation kushindwa kuliendeleza eneo hilo ambalo walikodishwa na Serikali kwa lengo la kuliendeleza.Hayo yamesemwa leo huko Baraza La Wakilishi Zanzibar na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Mwiji Haji Makame wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Kwamtipura Hamza Hassan Juma (CCM) aliyetaka kujua

[ Read More ]

Tujihadhari na utapeli huu

Nilikua njiani naelekea ofisini kwangu, nikiwa mitaa ya Darajani Zanzibar simu yangu iliita aliyenipigia alijitambulisha na nilikua simjui, alisema yupo Mkoani Kigoma anafanya kazi shirika moja la kimataifa, alinieleza anahitaji mtu wa kushirikiana naye katika mambo ya kibiashara anayetoka Zanzibar, alidai alipatiwa namba yangu na moja kati ya rafiki zangu wanao ishi Uk, na hakutaka nimuulize niliendelea kumsikiliza. Akaanza kunielekeza anafanya Biashara ya kununua Product ambayo inahifadhi vyakula

[ Read More ]