Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

WASIFU WA DR MOHAMED ALI SHEIN

Dk. Ali Mohamed Shein alizaliwa Machi 13, 1948 katika Kijiji cha Chokocho kilichoko Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba. Dk Shein ameoa, ana watoto na wajukuu.ELIMUMsingi na sekondariAlipata elimu yake ya msingi na sekondari kisiwani Unguja. Elimu ya msingi alisoma katika Shule ya Wavulana Gulioni kati ya mwaka 1956 na 1964 na alijiunga na Shule ya Sekondari Lumumba mwaka 1965 na kuhitimu mwaka

[ Read More ]

BREAKING NEWS......

NI DR MOHAMMED SHEIN, amechaguliwa kuwa mgombea Urais Zanzibar. Amepata kura 117, Bilal 54, Nahodha

[ Read More ]

Kinachoendelea Dodoma Usiku Huu: Shamsa Vuai Atupwa Nje!

Aliyekua Mgombea Urais wa Zanzibar ambaye pia ni Waziri kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Shamsi Vuai Nahodha akisalimia baadhi ya wanachama wa CCM mjini Dodoma muda mfupi kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM ambacho muda mfupi uliyopiuta umetoa jina lake kwenye mapmbano huo na kubaki kwa wagombea wawili kati ya Dr Shein na Dr Gharib Bilal

[ Read More ]

Komandoo Salmin Amour:Kwanini Ametua Dodoma?

RAIS wa Awamu ya Tano ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Salmin Amour Juma (mbele) akisalimiana na wakazi wa Dodoma waliofika kumpokea yeye na Waziri Kiongozi wa Serikali ya Zanzibar Shamsi Vuai Nahodha (nyuma) juzi. --Inasemwa, kuwa yapata miaka mitano sasa Komandoo Dr Salmin Amour, Rais Mstaafu wa Serikali ya Zanzibar hajapata kuhudhuria vikao vya chama chake, CCM. Kwamba Salmin Amour

[ Read More ]