
Dk. Ali Mohamed Shein alizaliwa Machi 13, 1948 katika Kijiji cha Chokocho kilichoko Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba. Dk Shein ameoa, ana watoto na wajukuu.ELIMUMsingi na sekondariAlipata elimu yake ya msingi na sekondari kisiwani Unguja. Elimu ya msingi alisoma katika Shule ya Wavulana Gulioni kati ya mwaka 1956 na 1964 na alijiunga na Shule ya Sekondari Lumumba mwaka 1965 na kuhitimu mwaka