Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MATOKEO YA WANAFUNZI KIDATU CHA PILI YAKO JUU ZANZIBAR

Wanafunzi wa skuli ya Kengeja PembaIdadi ya wanafunzi waliofaulu kuingia kidatu cha tatu kwa mwaka 2010 imeongezeka kwa asilimia 58.2 kutoka asilimia 54.2 ya mwaka 2009, huku skuli ya Kajengwa wilaya ya kusini ikishika nafasi ya kwanza.Taarifa ya matokeo ya mtihani wa darasa la saba na kidato cha pili ya mwaka 2010 iliyotolewa na wizara ya elimu imesema jumla ya wanafunzi elfu 19, 855 waliofanya

[ Read More ]

Binti wa Will Smith's Hot

Willow Smith(10) akiwa katika harakati za kurekodi video ya wimbo wake Kikazi zaidi Mtoto wa wasanii nyota wa Hollywood, Will Smith na Jaden Pinkett akiwa kikazi zaidi wakati akimrekodi dada yake, Willow. Willy Smith na mkewe, Jada Pinkett Smith wakionesha hisia wakati wakimshuhudia binti yao akirekodi video ya wimbo wake (wa Willow). Gwiji wa sinema, Jack Chen nae alikuwepo kumshuhudia

[ Read More ]

TAARIFA KUTOKA BENKI KUU YA TANZANIA KUHUSU TOLEO LA NOTI MPYA

Gavana Mkuu wa Benki Kuu ya Tanzania Prof.Benno Ndulu akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam Kuhusu noti mpya zinazotumika nchini kuwa zina ubora na viwango vya kimataifa na kuwataka wananchi kuwa makini katika kufwatilia na kuzitambua alama muhimu za noti halali ikiwemo ile ya kutoa rangi pindi inaposugulia kwenye karatasi nyeupe.Kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki

[ Read More ]

SHIRIKA LA UMEME LASHINDWA KUTUMIA JENERATA MPYA KUTOKANA NA GHARAMA KUBWA

Majenereta ya Shirika la Umeme ZanzibarShirika la umeme Zanzibar ZECO limesema linashindwa kuzitumia Genereta zake 32 za akiba kwa kuzalisha nishati ya umeme kila unapokatika umeme kutoka gridi ya taifa kutoakana na gharama kubwa za mafuta ya kuendesha genereta hizo.Akizungumza na zenji fm radio afisa uhusiano wa ZECO Salum Abdalla Hassan amesema Shirika hilo  limekuwa likiwasha Genereta hizo

[ Read More ]

TANZANIA YAWEKA HISTORIA UMOJA WA MATAIFA

FEB 4 DKT. SERVACIUS LIKWELILE, NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI AKIWASILISHA MPANGO WA PAMOJA WA MAENDELEA KATI YA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGAO WA TANZANIA NA MASHIRIKA MANNE YA UMOJA WA MATAIFA KATIKA MOJA YA VIKAO VYA BODI TENDAJI ZA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA. VIKAO VYA BODI TENDAJI ZA UNDP, UNICEF, WFP NA UNFPA VINAFANYIKA MAKAO MAKUU YA UMOJA WA MATAIFA, JIJINI NEW YORK,

[ Read More ]