Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Jaribio La Mapinduzi Lazimwa Congo



Habari kutoka Kinshasa zinaeleza kuwa watu saba wameuawa baada ya kufanya jaribio la kumpindua Rais Joseph Kabila katika makazi yake.

Watu hao waliuawa na walinzi wa Rais Kabila, kwa mujibu wa maelezo ya msemaji wa Ikulu ya nchi hiyo.

Mwandishi wetu Lubunga Bya'Ombe akiwa Kinshasa amethibitisha kumetokea taarifa hizo. Hata hivyo watu waliohusika bado hawajajulikana.

Taarifa zaidi tutawaletea kadri zitakavyokuwa zikipatikana.
BBC Swahili.
[ Read More ]