Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

ZIARA YA DK SHEIN KISIWANI PEMBA


ZIARA YA DK SHEIN KISIWANI PEMBA

>
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein Akiangalia karafuu zilizokatwa wakati zikisafirishwa kwa njia ya magendo.Karafuu hizo zikiwa zimehifadhiwa katika kituo cha ZSTC, huko katika Bandari ya Wete jana.(Katikati)  ni mke wa Rais Mama Mwanamwema Shein, (kushoto) Naibu Meneja wa ZSTC Pemba, Hamad Khamis Hamad
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein Akisikiliza raisala ya wachumaji wa karafuu katika kambi ya daya Mtambe  jana alipofanya ziara kutembelea kambi za wachumaji wa karafuu Mtambwe wilaya ya Wete

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi DK A,li Mohamed Shein Akizungumza na wananchi na wakulima wa karafuu katika banda la ZSTC Daya Mtambe ambapo ni kituo kikuu cha ununuzi wa zao hilo, linalopelekea kukuza uchumi wa Nchi.
[ Read More ]

MEENA BAZAR JIONI YA LEO


Hii ndio Dada njoo ya Mysore inavyokuwa  kipindi cha  mwanzo wa Ramdhan.


































[ Read More ]

HAPPY-BIRTHDAY MY BABY BROTHER ABDUL-KADIR.

        You are the star of our family, you are the smile of my life. I wish you a very happy birthday and bless you with all my love and care. May God always take your care.I love you Brother.



















ENJOY YOUR DAY SISTER LOVE YOU SOO MUCH.



[ Read More ]