Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAKAMO WA KWANZA WA RAIS MAALIM SEIF AREJEA NYUMBANI

 MAKAMO wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akishuka kutoka kwenye ndege wakati alipowasili katika Uwanja wa kimataifa wa Abeid Karume akitokea nchi za nje alipokuwa katika ziara ya kiserikali pamoja na matibabu.MAKAMO wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akivishwa shada la maua alipowasili nyumbani  MAKAMO wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif

[ Read More ]