Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAKAMO WA KWANZA WA RAIS MAALIM SEIF AREJEA NYUMBANI


 MAKAMO wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akishuka kutoka kwenye ndege wakati alipowasili katika Uwanja wa kimataifa wa Abeid Karume akitokea nchi za nje alipokuwa katika ziara ya kiserikali pamoja na matibabu.
MAKAMO wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akivishwa shada la maua alipowasili nyumbani


 MAKAMO wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiwapungia mkono wananchi pamoja na viongozi waliokuwepo uwanjani ambapo Dufu pia lilikuwepo kumkaribisha uwanjani hapo
MAKAMO wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari alipowasili katika Uwanja wa Zanzibar. Kushoto ni Mkurugenzi mkuu wa shirika la utangazaji Zanzibar, Hassan Mitawi.

Picha zote na Yussuf Simai, Maelezo
[ Read More ]