Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

JAMANI HUU UNYAMA UMEZIDI TENA....


Mtoto unamuona katika picha ni mwanafunzi wa shule ya msingi Buguruni anasoma darasa la tatu siku yanamkuta haya alikuwa na kosa la kutokuwa na daftari mwalimu anaeitwa Ms.Haule ni mdada tu akampiga na kumfinya kwa kumvuta ngozi ya macho na hicho ndio kilichotokea.Mtoto nyama ya macho ikamtoka nje,macho yakawa mekundu yanatoa tu machozi mtoto akawa kama kapoteza fahamu hata kusikia akawa hasikii.Jamani nimesikitika sana kila nikiangalia picha hii machozi yananitoka siwezi kuitazama.Mtoto anaendelea na matibabu katika hospital ya CCBRT ambako baba yake amempeleka.Baba wa mtoto anasikitika sana hana hakika kama mtoto wake atakuwa sawa!!
Hivi ninavyoandika mwalimu kakimbia haijulikani alipo na polisi wanamtafuta.Kwa nini lakini mwalimu umefanya hivyo haukuwa na kitu kingine cha kumuadhibu huyo mtoto mpaka macho yake uyavute??Poor kid nahisi anasikia maumivu makali sana na huyu mtoto lazima hata kisaikolojia hayupo sawa.Wewe mwalimu huko uliko hata kama umejificha ila hutajificha milele hata kama si mkono wa sheria kukuangukia ila mwenyewezi Mungu atakuonyesha nguvu yake!!!

habari na dina marios
[ Read More ]

TMH YAFANIKISHA STYLE MOTO MOTO YA MITINDO USIKU HUU


Mbunimu wa Mitindo,Khadija Mwanamboka 
(kulia) akimkabidhi
 zawadi ya ua Mwanamitindo,
Jamila Swai ambaye ni mmoja kati ya 
waliofanikisha shughuli hiyo 
usiku huu katika hoteli ya Double Tree Hilton,
Masaki jijini Dar.
MC Taji Liundi akiwajibika.



Mwanamitindo Jamila Swai akipita jukwaani.wadau.
Ankal akiwa amejiachia na wadau waliohudhuria hafla hiyo pamoja
 na wanamitindo.
Wadau wa Vodacom pia walikuwepo.Biashara ikiendelea mara baada ya show kumalizika.

Wageni waalikwa toka sehemu mbali mbali

 walijitokeza kuona Style Motomoto 
Fashion Show usiku huu ndani ya hoteli ya Double Tree Hilton,
Masaki jiji Dar.
[ Read More ]