Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

JAMANI HUU UNYAMA UMEZIDI TENA....

Mtoto unamuona katika picha ni mwanafunzi wa shule ya msingi Buguruni anasoma darasa la tatu siku yanamkuta haya alikuwa na kosa la kutokuwa na daftari mwalimu anaeitwa Ms.Haule ni mdada tu akampiga na kumfinya kwa kumvuta ngozi ya macho na hicho ndio kilichotokea.Mtoto nyama ya macho ikamtoka nje,macho yakawa mekundu yanatoa tu machozi mtoto akawa kama kapoteza fahamu hata kusikia akawa hasikii.Jamani

[ Read More ]

TMH YAFANIKISHA STYLE MOTO MOTO YA MITINDO USIKU HUU

Mbunimu wa Mitindo,Khadija Mwanamboka  (kulia) akimkabidhi zawadi ya ua Mwanamitindo,Jamila Swai ambaye ni mmoja kati ya  waliofanikisha shughuli hiyo usiku huu katika hoteli ya Double Tree Hilton, Masaki jijini Dar. MC Taji Liundi akiwajibika. Mwanamitindo Jamila Swai akipita jukwaani.wadau. Ankal akiwa amejiachia na wadau waliohudhuria hafla hiyo pamoja na wanamitindo. Wadau

[ Read More ]