Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mjadala wa Wazi Matokeo ya Mtihani

Inshaallah Kesho Jumamosi asubuhi saa 2.30 katika ukumbi wa Beit Al Yamin Malindi kutakuwa na mjadala wa wazi wa wadau wote wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa taifa kidato cha nne. Mjadala huo utawashirikisha walimu wa skuli za serikali na binafsi, wazazi, wanafunzi na wadau wengine wa elimu karibuni katika mjadala huo ili kutoa maoni yenu katika mjadala huo. Kwa wale watakaopenda kufuatilia tutakuwa

[ Read More ]