
Matokeo ya Kidato cha nne 2009 yamewekwa hadharani leo huku takwimu zikionesha kuwa kiwango cha ufaulu kwa kidato cha nne yameshuka na yale ya mtihani wa maarifa(QT) kiwango kikiongezeka kwa asilimia 3.9 ukilinganisha na mwaka 2008. Akitangaza matokeo hayo, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa, Dk Joyce Ndalichako (pichani) amepasha, mwaka 2009 ufauli kwa watahiniwa wa shule ni asilimia