Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

READ 4 REASONS TO AVOID ALL SODA (EVEN DIET)…!!!

From Kitchen Cabinet Cures That innocent-looking can of soda pop-no matter what it’s sweetened with-may be taking a toll on your immunity. Here’s why: 1. People who drink sodas instead of healthy beverages (think low-fat milk and pure fruit juice) are less likely to get adequate vitamin A, calcium, and magnesium. What’s more, soda contains phosphoric acid that depletes calcium and magnesium. These

[ Read More ]

MAJI YASIYO SALAMA YASABABISHA KUHARISHA

WATU kutoka zaidi ya familia 10 katika Shehia ya Mikunguni, wamekumbwa na maradhi ya kuharisha baada ya kutumia maji yasiyo salama yanayosadikiwa kuchanganyika na kinyesi cha binadamu. Tatizo hilo limewakumba zaidi watoto baada ya kutumia maji hayo yaliyokuwa na ladha ya uchungu pamoja na rangi ya udongo. Katika taarifa yake kwa Zanzibar Leo, Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA), imesema hali hiyo imesababishwa

[ Read More ]

ALBINO ALIEPOTEA APATIKANA MSITUNI

MTOTO mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Juma Kapela (3) aliyekuwa ameibwa tangu Jumatano iliyopita wilayani Mpanda mkoani Rukwa, amepatikana akiwa hai, lakini akiwa amechanjwa chale mwili mzima na ametelekezwa msituni. Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Daniel ole Njoolay, jana alithibitisha kupatikana kwa mtoto huyo na kumpokea ofisini kwake, lakini akiwa amechanjwa chale mwili mzima, kutokana na kile kinachoaminika

[ Read More ]