UTATA mkubwa umegubika kifo cha mwanafunzi Jackline Musa Matiko (15) aliyekuwa akisoma katika Shule ya Sekondari Juhudi iliyopo Gongo la Mboto Wilaya ya Ilala aliyekutwa amekufa katika Hoteli ya Southern Resort, Kigamboni Dar es Salaam baada ya wazazi wake kudai kuwa hakufa maji bali alinyongwa. Ndugu na jamaa wa marehemu Jackline Musa Matiko, wakitoa mwili wa ndugu yao katika Hospitali ya

Each of us experiences disappointments in our life,Disappointment springs up regularly in the workplace because many of us have limited control over our work surroundings. You get passed over for leading a task force, even though you have all the requisite skills and experience. Someone else gets the raise that you thought you deserved. Your co-worker says she is going to support you on a task

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza laMapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kama ishara ya uzinduziwa Jengo la Bohari Kuu ya Dawa,Maruhubi Nje ya Mji wa Zanzibar janaikiwa ni shamra shamra za kilele cha miaka 49 ya Mapinduzi Matukufuya zanzibar,(kulia) Balozi wa Marekani Nchini Tanzania AlfonsoLenhardt.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa

. Mkurugenzi Idara ya Habari,Maelezo Zanzibar Yusuf Omar Chunda amewataka waandishi wa Habari Nchini kuhakikisha kwamba wanafanya kazi zao wakiwa na leseni za uwandishi wa habari