Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAULID HAMAD MAULID AFARIKI DUNIA LEO

Hayati Maulid Hamad Maulid enzi za uhai wake CHAMA Cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), kinasikitika kutangaza kifo cha mwandishi mahiri wa habari za michezo Zanzibar, Maulid Hamad Maulid. Maulid ambaye anafanyia kazi vituo vya Redio One na ITV akiwa Zanzibar, amefariki dunia leo Jumanne Oktoba 18, 2011 asubuhi nyumbani kwake Jang’ombe Zanzibar. Taswa imepokea kwa masikitiko

[ Read More ]