Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

JAJI MKUU ZANZIBAR AWAAPISHA MAHAKIMU, MRAJIS


 Jaji Mkuu wa Zanzibar(aliyestaafu leo) Hamid Mahmoud akifafanua jambo wakati akizungumza mara baada ya kuwaapisha Mahakimu wa Mkoa, Wilaya na Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar jana(kulia ni Wakili maarufu, Hamid Mbwezeleni)
  Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud (kulia) akimwapisha Mrajis wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, George Joseph Kazi ( katikati) katika sherehe fupi zilizofanyika Mahakama Kuu jana Mjini Zanzibar
 Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud (kulia) akimwapisha Valentina Adrew Katemar kuwa Hakimu wa Mahakama ya Mkoa (wa katikati) huku Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar George Joseph Kazi kulia akishuhudia

Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud (kulia) akimwapisha  Fatma Muhsin Omar kuwa Hakimu wa Mahakama ya Mkoa (katikati) huku Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar George Joseph Kazi

(wa kwanza kushoto) akishuhudia.

Picha zote na Hamad Hija ,MAELEZO Zanzibar
[ Read More ]

DK SHEIN AFANYA MABADILIKO AMTEUA MAKUNGU JAJI WA MAHKAMA KUU, OTHMAN MWANASHERIA MKUU


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akimwapisha Othman Masoud Othman kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ikulu. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu, Othman alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka (DPP).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akimwapisha Omar Othman Makungu kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika hafla iliyofanyika leo Ikulu. Omar alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kabla ya kuteuliwa Jaji wa Mahkama Kuu.

Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
[ Read More ]

Unene wasababisha moyo usionekane



UNENE wa Alan Belmont umesababisha madaktari washindwe kuuona moyo wake.


Kijana huyo alishtuka baada ya madaktari kumweleza kuwa mashine zao hazikuwa na uwezo wa kupenya kwenye 'manyama nyama' yake ili kufahamu mapigo ya moyo.


Soma hapo chini


A man who weighs 34 stone has finally decided to lose weight after doctors were unable to detect his heart beat because he was so FAT.

Alan Belmont, 24, was shocked when doctors told him they could not find his pulse despite using a stethoscope and even an ultra-sound machine.

Doctors told him the hospital's machines were not powerful enough to penetrate his thick layer of blubber.


Belmont claims he piled on the pounds after suffering from asthma as a child.


Medics eventually found a weak pulse under his arm and were able to give him a reading.

But the experience shocked Mr Belmont, who wears a staggering XXXXXL clothing, into losing weight.

Mr Belmont, from Worcester, has set himself the incredible target of losing 20 STONE - nearly half his body weight.

He said: 'I went to the hospital recently and they told me they couldn't find my heart and I thought to myself

"I'm a dead man walking."

'They could not even find it using an ultra sound, which is what they use on pregnant women.
'I was quite embarrassed when the doctors said they couldn't find my pulse. It suddenly hit me that I had to make a drastic change to my life and lose weight.

'When I get in cars I can't get the seatbelt on so I would like to get myself fit. I would just like to be a normal person again.'
[ Read More ]

VIONGOZI WA VODACOM NDANI YA IKULU.......

Rais Jakaya Kikwete, akiwa katika picha ya pamoja na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya simu za mkononi, ‘Vodacom Group’ , Pieter Uys, (wapili kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Dietlof Mare (kushoto) na Mkurugenzi wa Mahusiano wa kampuni hiyo, Mwamvita Makamba, wakati wa ujumbe wa kampuni hiyo ulipofika Ikulu Dar es Salaam juzi kwa ajili ya mazungumzo kuhusu masuala mbalimbali ya kuongeza uwekezaji nchini.

Rais Jakaya Kikwete, akimkaribisha Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya simu za mkononi, ‘Vodacom Group’ , Pieter Uys, wakati wa ujumbe wa kampuni hiyo ulipofika Ikulu Dar es Salaam juzi kwa ajili ya mazungumzo kuhusu masuala mbalimbali ya kuongeza uwekezaji nchini, (kushoto) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Dietlof Mare. Kulia ni Mkurugenzi wa Mahusiano wa kampuni hiyo, Mwamvita Makamba.

Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na Mkurugenzi wa Mahusiano wa kampuni hiyo, Mwamvita Makamba, wakati alipoongozana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya simu za mkononi, ‘Vodacom Group’ ,Pieter Uys (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Dietlof Mare (wapili kushoto) kwa ajili ya mazungumzo na rais kuhusu Masuala ya kuongeza uwekezaji nchini, Ikulu Dar es Salaam jana
[ Read More ]

JUSTIN BIEBER& HIS MOM USED TO LIVE IN POVERTY!


Justin Bieber, the new sensation in pop music, admitted recently that until he became famous he lived on the step of poverty. The teenage star, who became a phenomenon in showbiz, sold more than two million albums, but before being famous, Justin and his mother Pattie Mallette were very poor. They could not live without the donations from the local church and Justin even had to sing on the street so he could take his mother in a vacation. But all this has made Justin stronger, he said. Now only at the age of 16 he’s a superstar.Justin Bieber’s story is such a great tale of overcoming the odds! He and his mother used to live in poverty after his dad walked out on them when he was a kid. Justin was so poor that he didn’t even have a bed to sleep on, and his house was full of mice.
“That place was really dirty. We had mousetraps everywhere because there were mouses – uh, mice – in the house. I didn’t have a real bed. I slept on a blue pull-out couch in my room.”

Justin said that he’d love to play Oliver Twist in a movie because he can relate to the character.“We didn’t have anything in the fridge, except maybe luncheon meat for school and macaroni and cheese. I’d love to play Oliver Twist.”I knew that Justin had an impressive backstory, but I hadn’t realized how bad things were. Thank god he was discovered on Youtube!
[ Read More ]

MAKAMO WA KWANZA WA RAIS MAALIM SEIF AREJEA NYUMBANI


 MAKAMO wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akishuka kutoka kwenye ndege wakati alipowasili katika Uwanja wa kimataifa wa Abeid Karume akitokea nchi za nje alipokuwa katika ziara ya kiserikali pamoja na matibabu.
MAKAMO wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akivishwa shada la maua alipowasili nyumbani


 MAKAMO wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiwapungia mkono wananchi pamoja na viongozi waliokuwepo uwanjani ambapo Dufu pia lilikuwepo kumkaribisha uwanjani hapo
MAKAMO wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari alipowasili katika Uwanja wa Zanzibar. Kushoto ni Mkurugenzi mkuu wa shirika la utangazaji Zanzibar, Hassan Mitawi.

Picha zote na Yussuf Simai, Maelezo
[ Read More ]

DAME ELIZABETH TAYLOR (MJ'S BEST FRIEND) DIES @ 79 FROM HEART FAILURE IN HOSPITAL


Last of the Hollywood greats: Dame Elizabeth Taylor has died in hospital aged 79 of congestive heart failure
Her last show: Elizabeth was snapped celebrating her 79th birthday a month early in January before she was admitted to hospital a few days after


Dame Elizabeth Taylor, one of the 20th Century's biggest movie stars, has died in Los Angeles at the age of 79.

The double Oscar-winning actress had a long history of ill health and was being treated for symptoms of congestive heart failure.
Her four children were with her when she died at Cedars-Sinai Medical Center, her publicist said.
In a statement, her son Michael Wilding called her "an extraordinary woman who lived life to the fullest".
"We know, quite simply, that the world is a better place for Mom having lived in it," he continued.
"Her legacy will never fade, her spirit will always be with us, and her love will live forever in our hearts."


Dame Elizabeth's most famous films included National Velvet, Cleopatra and Who's Afraid of Virginia Woolf?
She was equally well-known for her glamour and film partnership with Richard Burton, one of seven husbands.
In her prime, she was arguably one of the world's greatest actresses and most beautiful women.
Her colourful private life, screen success and Aids charity work ensured she was never far from the spotlight since finding fame at the age of 12.
The peak of her film career came in the 1950s and 1960s, with four Oscar nominations in a row from 1958 to 1961.
She lost out in her first three attempts - for Raintree County, Cat on a Hot Tin Roof and Suddenly, Last Summer - but triumphed at her fourth attempt with Butterfield 8.



She met the actor while filming 1963's Cleopatra - which became notorious as one of the most expensive films of all time, but which also sparked one of Hollywood's greatest romances. 
Her second Oscar came in 1967 for Who's Afraid of Virginia Woolf?, one of 12 films with Burton.

Taylor had already been married four times - to Conrad Hilton Jr, Michael Wilding, Michael Todd and Eddie Fisher - before she wed Burton in 1964.
Their tempestuous relationship saw them divorce and remarry in 1975 before she moved on to further marriages with John W Warner and Larry Fortensky.
Her health problems began with a fall while filming her first hit film, National Velvet, which led to a lifetime of back problems.
A rare strain of pneumonia almost killed her in 1961 and she also battled addictions to alcohol and painkillers.
In the 1990s, she endured two hip replacement operations and another near-fatal bout of pneumonia and survived surgery for a benign brain tumour in 1997.
In 2004, it was revealed that she was suffering from congestive heart failure, with symptoms including fatigue and shortness of breath, and scoliosis, which twisted her spine.
But she continued to campaign for her Aids charity, which she set up in 1991 after the death of her friend and co-star Rock Hudson.
In addition to her four children - Michael Wilding, Christopher Wilding, Maria Burton-Carson and Liza Todd-Tivey - Dame Elizabeth is survived by 10 grandchildren and four great-grandchildren.
A private family funeral will be held later this week. Instead of flowers, the family has requested that contributions be made to the Elizabeth Taylor Aids Foundation.
[ Read More ]

Kasheshe kwa wanaotaka kusoma Uingereza



Maandamano ya wanafunzi Uingereza
Sheria za kupata viza za wanafunzi nchini Uingereza zinatarajiwa kuwa ngumu zaidi- baada ya kuibuka wasiwasi kuwa mbinu za kuingia nchini humo kwa minajil hiyo hutumiwa kiudanganyifu
Waziri wa mambo ya ndani Theresa May alisema viza za wanafunzi hazitumiwi inavyotakiwa na "wengi wamekuja hapa kufanya kazi na si kusoma".
Alitangaza mpango wa kupunguza idadi ya viza za wanafunzi kufikia 80,000- takriban robo ya idadi iliyopo sasa.
Waziri kivuli wa wizara ya mambo ya ndani Yvette Cooper alionya sheria hazitakiwi kuharibu idara zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni tano kwa mwaka.
Bi May aliliambia bunge kuwa matumizi mabaya ya viza za wanafunzi yamekuwa "ishara ya mfumo wa uhamiaji uliotumiwa vibaya".

Sheria za lugha

Sheria ngumu zilizowekwa ni pamoja na mwanafunzi kutakiwa kuzungumza lugha ya Kiingereza.
Bi May alisema alitaka kumaliza tatizo ambapo wale wanaojifanya wanafunzi hufika kwenye uwanja wa ndege wa Uingereza na kushindwa hata kutaja masomo wanayotarajia kufanya.
Pia utaratibu utazidi kubanwa kwenye kuwaruhusu wanaolelewa na mwanafunzi huyo kujiunga naye Uingereza- na idadi ya miaka ya wanafunzi kutoka nje kukaa Uingereza baada ya kumaliza masomo yao itapunguzwa.
Katika kukabiliana na wasiwasi wa viza za wanafunzi kutumiwa vibaya na wahamiaji wa kiuchumi, kutakuwa na kiwango maalum cha saa za kufanya kazi kwa wanafunzi kutoka nje.
Awali vyuo vikuu vilionyesha wasiwasi wa kupoteza wanafunzi kutoka nchi za nje kutokana na sheria kali za kuomba viza.
Vikwazo vingi vinawalenga wanafunzi walio katika vyuo vya watu binafsi badala ya vyuo vikuu.
Hata hivyo Bi May aliwaambia wabunge kwamba "njia kama hiyo" ya kusoma kupitia vyuo vikuu vitalindwa, iwapo tu vyuo vikuu vitawadhamini wanafunzi.
[ Read More ]

WASANII 13 WA FIVE STARS MODERN TAARAB WAFARIKI KATIKA AJALI

WATU wapatao 13 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa vibaya katika ajali ya basi aina ya Coaster lenye namba za usajili T 361 BGE lililokuwa limebeba wanamuziki wa kundi la Five Stars Modern Taarab waliokuwa wakitokea Kyela-Mbeya kueleka jijini Dar.

Ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa mbili usiku ndani ya hifadhi za wanyama za Mikumi mkoani hapa, baada ya gari hilo kuligonga kwa nyuma roli aina ya Scania lenye namba za usajili T 848 APE lililokuwa linavuta tela lenye namba za usajili T 559 BDL liliokuwa na mzigo wa mbao.


ZIFUATAZO NI PICHA ZAIDI ZA TUKIO HILO:





Waliofariki katika ajali ya Bendi ya Five Star ni pamoja na 
Issa Kijoti, Omar Tolu, Haji Babu, Sheba Juma, Omar Hashim, Tizo Mgunga, Hamisa Mipango, Husna Mapande, Samir Maulid, hasan Ngereza, Rama Kinyoya, Nasoro Madenge na mcheza shoo wakitu tigo mmoja.


Hawa ni marehemu waliokufa kwenye ajali hiyo na mwili wa tatu ndio Issa Kijoti aliyekuwa mwimbaji mzuri kabisa katika bendi hiyo ya Five Star Mordem Taarabu





































Yafutayo ni majina ya wana Five Stars waliothibitishwa kufa hadi sasa:

Issa kijoti - mwimbaji
Husna mapande-mwimbaji
nasoro madenge - mkurugenzi 
Sheba juma - mpiga solo
Omari hashimu- mpiga bass
Omari tall- fundi mitambo
Hamisa mussa - mwimbaji
Rama kinyoya - mwimbaji
Tizo mgunda - mcheza shoo
Haji mzaniwa - fundi mitambo

source;global publisher.
[ Read More ]

MAJONZI MAKUBWA TANZANIA!!!!!!! KUNDI LA TAARABU LA FIVE STARS LAPATA AJALI USIKU HUU, ZAIDI YA WATU 10 WAHOFIWA KUFA!!!


Hawa ndo baadhi ya wanamziki wa Five Star Modern Taarab
WANAMUZIKI WA BENDI YA FIVE STAR MODERN TAARABU ZAID YA 10, WAMEPOTEZA MAISHA KWA AJALI YA GARI HUKO MOROGORO ENEO LA MIKUMI NA WENGINE KUJERUHIWA VIBAYA SANA NA HALI ZAO NI MBAYA. GARI HILO LILIKUWA NA WATU 22, LAKINI WAMENUSURIKA 5, HUKU WATATU WAKIWA WAMEUMIA KIDOGO. KWA MUJIBU WA VYANZO VYA HABARI INADAIWA GARI HILO LILIKUWA KWENYE MWENDO MKALI NA KUPELEKEA KUGONGA LORI LILILOKUWA LIMEPAKIA MBAO PEMBENI YA BARABARA, KUGONGA HUKO ILIPELEKEA VIFO VYA WATU 8, HAPO HAPO NA KISH AKAENDA UPANDE WA PILI AMBAPO LORI LINGINE LILIKUWA LINATEMBEA NDIPO ILIPOISHIA NA KUSABABISHA VIFO HIVYO ZAIDI YA 10, NA MAJERUHI WENGI.MAITI ZIMEHAARIBIKA VIBAYA SANA HALI AMBAYO HAZITAMBULIKI KUTOKANA KUWA VIWILI WILI. 

Habari kwa hisani ya Andrew Chale (Tanzania Daima)
[ Read More ]