Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

breaking news

Mwanamuziki mkongwe nchini, Dk. Remmy Ongala amefariki dunia jijini Dar es Salaam leo.Habari za awali zilizofikia mtandao huu zinasema Dk. Remmy alikata roho akiwa nyumbani kwake usiku saa nane na robo kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya kisukari.Mwili wa marehemu umepelekwa kuhifadhiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na mipango ya mazishi bado haijajulika

[ Read More ]

MSANII Mkongwe Marehemu Bakari Abeid, hatunae tena baada ya kufariki dunia leo asubuhi nyumbani kwake Mbuyu Mnene Kiembesamaki na kuzikwa leo katika makaburi ya mwanakwerekwe na kuhudhuriwa na Wananchi mbalimbali na Wasanii.Mungu ailaze paha pema peponi Amin. &nb

[ Read More ]

WENGI WAMZIKA, WAELEZA WALIVYOGUSWA.

MAMIA ya wananchi wa Zanzibar na vitongoji vyake wakiwemo wasanii wakongwe na chipukizi, walijitokeza katika mazishi ya marehemu Bakari Abeid Ali aliyefariki dunia jana. Mazishi hayo yalihudhuriwa na baadhi ya viongozi wa serikali wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdallah Mwinyi Khamis, Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Ali Juma Shamuhuna, Waziri wa Nchi Afisi ya Rais na Mwenyekiti

[ Read More ]