
NI ajabu lakini kweli, unaweza kusema vyovyote unavyoweza, lakini mimi nasema, mwacheni Mungu aitwe Mungu. Nasema hivyo kwa sababu naamini kwamba, ndiye aliyewapa ujasiri marubani wa ndege ya United Airlines, Airbus 319 wakaweza kuiongoza ndege hadi ikatua kwa dharura baada ya mfumo WOTE wa utendaji wa ndege hiyo kufa wakati ikiwa angani dakika 20 baada ya kuruka katika uwanja wa ndege wa Louis