Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Buriani Bi Rahma Mshangama

Leo baada ya Salat ya  IJumaa, maiti ya Maremu Bi Rahma Mshangama ilisaliwa katika msikiti wa Ijumaa Mwembeshauri, mjini Unguja na baada ya hapo ilienda kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwereke nje kidogo ya mji wa Zanzibar. Bi Rahma Mshangama alifariki jana katika hospitali ya MnaziMmoja mjini Zanzibar, Marehehemu Bi Ramha alizaliwa tarehe 21 Aprili 1961 Kikwajuni Mjini Zanzibar na kupata elimu

[ Read More ]

MAZIKO YA KATIBU WA WIZARA YA USTAWI WA JAMII, VIJANA WANAWAKE NA WATOTO.

                  Marehemu Rahma Mshangama enzi za uhai wake.  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitia udongo katika kaburi la Marehemu Rahma Mshangama, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa jamii,maendeleo ya Vijana Wanawake na Watoto, aliyezikwa jana katika makaburi ya mwanakwerekwe mjini

[ Read More ]