Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

NGUZA VIKING NA MWANAE PAPII WAFUNGWA MAISHA.WAWILI WAACHIWA HURU

HUKUMU IMETOLEWA! Papii Kocha na Baba yake, Babu Seya wameonekana na hatia hivyo wataendelea kukaa jela for the rest of your lives!! Wakati wawili hao wakiendelea kusota, watoto wake wawili Francis Nguza na Mbangu Nguza wameachiwa huru baada ya kuonekana hawakuwa na hatia.
















[ Read More ]