Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

World’s Tiniest Teenager Wins Guinness World Record


Jyoti Amge of India has been recognized by Guinness Book of World Records as the world’s shortest woman. Jyoti was known as the world’s shortest teenager until she turned 18 this year. Guinness said in a statement Jyoti has grown less than one centimetre (0.4 inch) in the last two years and will not grow any taller due to a form of dwarfism called achondroplasia.

The teenager stands at 24.7 inches tall – 2.76 inches shorter than the 22-year-old American who had held the title since September. She weighs about 10 lbs.
[ Read More ]

Kampuni tano zaomba kujenga daraja Kigamboni


KAMPUNI tano zimejitokeza kuomba zabuni ya ujenzi wa daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam, ambazo moja kati ya hizo ndiyo itakayopewa dhamana ya ujenzi huo mara mchakato huo utakapokuwa umekamilika.

Akizungumza wakati wa kufungua zabuni hiyo Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Ludovick Mrosso, alisema awali kampuni saba zilijitokeza kuomba, lakini mbili kati ya hizo, zilishindwa kuwasilisha mchanganuo wake.

“Tunashukuru kuwa mwitikio umekuwa mzuri, hivyo kinachohitajika kwa sasa ni kumpata mshindi mmoja kutoka katika kampuni hizi tano ili tuweze kumkabidhi jukumu la ujenzi wa daraja hilo linalotarajiwa kuwa chachu ya uchumi katika sekta ya usafirishaji,” alisema Mrosso.

Alizitaja kuwa ni Long Jian Road and Bridge, Sichuan Road and Bridge Group, China Communication Construction, China Railway Contract Eng Group ikishirikiana na China Major Bridge Eng, zote za China.

Mrosso alisema hatua iliyofikiwa ni ya kwanza kuelekea nyingine na kwamba kinachosubiriwa kwa sasa ni mchujo kwa makandarasi hao ili kumpata mmoja atakayekabidhiwa jukumu la ujenzi huo.

Alisema wanatarajia kuwa mkandarasi atakayepatikana, atajenga daraja hilo kwa ufanisi na hivyo kumaliza kiu ya muda mrefu ya kuwepo kwa daraja hilo linalotarajiwa kuwa kiunganishi kizuri kwa wakazi wa Kigamboni.

Aidha, alisema ujenzi wa Daraja la Kigamboni ni mradi mkubwa kwa NSSF kusimamia katika kutoa huduma bora kwa jamii.
[ Read More ]