Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Hausigeli Amuangukia Mtoto, Mtoto Afariki

Katika tukio ambalo si la kawaida, hausigeli mmoja wa nchini Marekani ambaye alikuwa ni mnene sana, alizimia ghafla na kumuangukia mtoto mchanga wa mwezi mmoja na kupelekea kufariki kwa mtoto huyo kutokana na kuelemewa na uzito.i na ni Baba wa mtoto huyo aliyejulikana kwa jina la Michael Baldwin II ambaye ni mwandishi wa habari jijini New York, alikuwa nyumbani kwake akimuangalia mtoto wake mchanga

[ Read More ]

Ufafanuzi Zaidi Juu Ya Keratoconus.

         baada ya kuandika makala ya kwanza kuhusu keratoconus nimegundua kuwa kuna idadi kubwa ya watu wanaohitaji kujua zaidi juu ya hili tatizo na vilele juu ya tiba yake. na wapo wengine  ambao hawana ufahamu wowote juu hili na wapo wale ambao amegundulika na hili tatizi ila kwa njia moja ama nyengine wamekosa ufumbuzi wake.na leo nitaongea zaidi juu ya

[ Read More ]

HAWA MALAIKA WANAHITAJI MAZIWA TU...!!!

Familia ya Bw. na Bibi Edwin Dosantos wakazi wa Kimara jijini Dar es Salaam wanaomba msaada wa maziwa au fedha kwa ajili ya kuwasaidia kuwatunza watoto wao mapacha watatu ambao wana Umri wa miezi miwili. Akizungumza na MO BLOG jijini Dar es Salaam  Baba wa watoto hao Bw. Dosantos amesema kwa sasa yeye na mkewe hawana kazi na inawawia vigumu kutimiza mahitaji

[ Read More ]