
Katika tukio ambalo si la kawaida, hausigeli mmoja wa nchini Marekani ambaye alikuwa ni mnene sana, alizimia ghafla na kumuangukia mtoto mchanga wa mwezi mmoja na kupelekea kufariki kwa mtoto huyo kutokana na kuelemewa na uzito.i na ni Baba wa mtoto huyo aliyejulikana kwa jina la Michael Baldwin II ambaye ni mwandishi wa habari jijini New York, alikuwa nyumbani kwake akimuangalia mtoto wake mchanga