.jpg)
Wananchi wamelazimika kuvunja nyumba ili kumuokoa Muhsin Ali Said alipoamua kujifungia ndani jana mchana baada ya nyumba yake kuungua kwa moto.“Aliamua kujifungia ndani akisema kwamba ni heri afe na nyumba yake. Vijana walilazimika kuvunja mlango na kumtoa kabla moto haujafika chumbani kwake na kumkimbiza msikitini. Ilikuwa ni hatari,” mtu mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la Abdul ambaye ni mmoja