Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Nyumba yateketea kwa moto.

Wananchi wamelazimika kuvunja nyumba ili kumuokoa Muhsin Ali Said alipoamua kujifungia ndani jana mchana baada ya nyumba yake kuungua kwa moto.“Aliamua kujifungia ndani akisema kwamba ni heri afe na nyumba yake. Vijana walilazimika kuvunja mlango na kumtoa kabla moto haujafika chumbani kwake na kumkimbiza msikitini. Ilikuwa ni hatari,” mtu mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la Abdul ambaye ni mmoja

[ Read More ]

TVZ Daima.

televisheni ya zanzibar katika website,unaweza kutembelea www.tvz.co.

[ Read More ]

Mtoto wa miaka miwili, mvuta sigara mdogo zaidi duniani

SOTE tunafahamu kwamba mvulana mwenye umri wa miaka miwili ni dhahiri atakuwa bado anakunywa maziwa au ameanza kula vyakula vya watu wazima. Lakini, mvulana mmoja wa Kichina ameanza kuvuta sigara wakati akiwa na umri wa miezi 18...Mtoto huyo huvuta paketi moja ya sigara kila siku na hushikwa na hamaki iwapo hapewi kiburudisho chake hicho.Mtoto huyo, Tong Liangliang, alifundishwa jinsi ya kuwasha sigara

[ Read More ]

Zanzibar yakubwa na uhaba wa petroli

Zanzibar inakabiliwa na uhaba mkubwa wa mafuta ya petroli hali inayotishia kuathiri sekta za uchumi.Uhaba huo wa petroli umekuja huku Zanzibar ikiendelea kukabiliwa na ukosefu wa umeme kwa siku 42 mfululizo.Uhaba wa mafuta umeanza kujitokeza wiki iliyopita na kusababisha baadhi ya wananchi wanaomiliki magari kulazimika kuyafungia majumbani na kuanza kutumia usafiri wa daladala na wengine kutembea

[ Read More ]

NECTA lawamani kwa kushusha ufaulu wa wanafunzi

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Jumanne Maghembe ameeleza sababu kubwa iliyosababisha kushuka kwa ufaulu wa elimu ya msingi katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka jana kuwa ni pamoja na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), kudhibiti uvujaji wa mitihani na uchache wa walimu uliopo nchini. Profesa Maghembe alitaja sababu nyingine iliyosababisha wanafunzi kufanya vibaya katika

[ Read More ]

Mwanajeshi aliyeshambulia polisi afungwa miaka 12

MAHAKAMA ya Wilaya ya Bukoba imemhukumu askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Koplo Katarama, kifungo cha miaka 12 jela, baada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu likiwamo la kumchania sare za kazi askari Polisi wa kike, kuharibu simu ya upepo na kumchania nguo ya ndani.Hukumu hiyo ilitolewa Januari 5 mwaka huu katika Mahakama hiyo na Hakimu Richard Maganga ikielezwa kuwa mtuhumiwa ambaye

[ Read More ]

Mwanamke Amuua Mpenzi Wake Kwa Kumkalia

Mwanamke mmoja nchini Marekani mwenye uzito wa kilo 136 amepandishwa kizimbani kwa kosa la kumuua mpenzi wake aliyezaa naye watoto watatu kwa kumkalia hadi alipofariki.Taarifa ya polisi wa Cleveland nchini Marekani ilisema kuwa mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la Mia Landigham na mpenzi wake Mikal Middleston-Bey walikuwa kwenye mzozo wa ndani ya nyumba mnamo mwezi wa nane mwaka jana.Taarifa zaidi

[ Read More ]