Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

[ Read More ]


Be always at war with your vices, at peace with your neighbors, 

and let each new year find you a better man.Like birds, let us,

leave behind what we don’t need to carry,

GRUDGES SADNESS PAIN FEAR and REGRETS.

Life is beautiful, Enjoy it.HAPPY NEW YEAR..

[ Read More ]

INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN.

ON BEHALF OF MA FELLOW LAUREATE STUDENTS IN ZANZIBAR WE ARE SADLY
 TO BE WITHOUT YOU IN OUR LIFE, U WERE A GREAT TEACHER OF ART AND CRAFT 
SINCE WE WERE GRADE 5 WHEN U TAUGHT US TO DRAW WAT WE SEE AND NOT WAT WE KNOW
. YOU WILL ALWAYS BE CHERISHED IN OUR MEMORY. MAY GOD REST YOUR SOUL IN PEACE MR IDD FARHAN.
..........AMEEN





[ Read More ]

JK Amwapisha Jaji Mkuu Mpya Leo







Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete leo amemwapisha Jaji Mohamed Chande Othman kuwa Jaji Mkuu katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Pichani Jaji Mohamed Chande Othman akila kiapo mbele ya Rais huku Jaji Mkuu mstaafu Augostino Ramadhani(kulia) akishuhudia.Katikati ni Kaibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo(Picha: Freddy Maro)
[ Read More ]

MAJAJI WAAPISHWA NA RAIS


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, akimuapisha Mkusa Isaac Sepetu, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika Ikulu ya Zanzibar leo
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, akimuapisha Fatma Hamid Mahamoud, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika Ikulu ya Zanzibar leo
Picha na Ramadhan Othman
[ Read More ]


I do my thing and you do yours. 
I am not in this world to live up to your expectations, 
and you are not in this world to live up to mine.
 You are you and I am I, 
and if by chance we find each other, 
then it is beautiful. If not,
 it can't be helped.
[ Read More ]

breaking news



Mwanamuziki mkongwe nchini, Dk. Remmy Ongala amefariki dunia jijini Dar es Salaam leo.
Habari za awali zilizofikia mtandao huu zinasema Dk. Remmy alikata roho akiwa nyumbani kwake usiku saa nane na robo kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya kisukari.
Mwili wa marehemu umepelekwa kuhifadhiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na mipango ya mazishi bado haijajulikana.
[ Read More ]

MSANII Mkongwe Marehemu Bakari Abeid, hatunae tena baada ya kufariki dunia leo asubuhi nyumbani kwake Mbuyu Mnene Kiembesamaki na kuzikwa leo katika makaburi ya mwanakwerekwe na kuhudhuriwa na Wananchi mbalimbali na Wasanii.
Mungu ailaze paha pema peponi Amin.  
[ Read More ]

WENGI WAMZIKA, WAELEZA WALIVYOGUSWA.





MAMIA ya wananchi wa Zanzibar na vitongoji vyake wakiwemo wasanii wakongwe na chipukizi, walijitokeza katika mazishi ya marehemu Bakari Abeid Ali aliyefariki dunia jana.

Mazishi hayo yalihudhuriwa na baadhi ya viongozi wa serikali wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdallah Mwinyi Khamis, Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Ali Juma Shamuhuna, Waziri wa Nchi Afisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mwinyihaji Makame Mwadini, Rais mstaafu wa awamu ya sita Dk Amani Abeid Karume, makatibu wakuu na watendaji kadhaa wa wizara mbalimbali.

Akielezea namna alivyoguswa na kifo cha marehemu Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdallah Mwinyi, alimsifia kwa kipaji cha lugha fasaha alichokuwa nacho, akisema daima alijua ni maneno gani ya kuzungumza kwa wakati na pahala maalumu.

Aidha alisema marehemu Abeid alifahamu namna ya kuzifurahisha nyoyo zilizojaa majonzi katika namna ambayo mlengwa alifarajika na kurudi matao ya chini hata kama alikuwa amefura kwa hasira.

Mkuu huyo wa Mkoa alikuwa mshirika wa karibu na marehemu wakifanya kwa pamoja vipindi vya 'Ndivyo tulivyo' na 'Usilolijua' vilivyokuwa vikirushwa na Sauti ya Tanzania Zanzibar na Televisheni Zanzibar miaka kadhaa iliyopita.

Naye msanii mkongwe wa fani za ushairi Haji Gora, alisema marehemu alikuwa kama maktaba kwake kwani aliweza kuchota mengi katika kazi zake za usanii, na kwamba kifo chake ni sawa na maktaba hiyo kufungwa kufuli na ufunguo wake kutupwa katika bahari ya kina kirefu.

Msanii wa maigizo Hassan Suleiman 'Chita', alimtaja marehemu kuwa ni mwalimu aliyebobea na ambaye hakuwa na hiyana katika kutoa ujuzi wake kwa wasanii waliokuwa wakijifunza sanaa.

"Unavyoniona nikiigiza, ni sehemu ya faida nilizopata kutoka kwake, kwani alikuwa akinihimiza kwa kuniambia niwahi kuchota mapema kwani hakuna ajuaye lini ataondoka duniani.
[ Read More ]

Ajab Si





Aankhon Mein Teri
Ajab Si Ajab Si Adayein Hai
Hoo Aankhon Mein Teri
Ajab Si Ajab Si Adayein Hai

Dil Ko Banade Jo Patang Saa Se
Yeh Teri Woh Haawaien Hai ]2

Aai Aise Raat Hai Jo
Bhahut Khushnaseeb Hai
Chahe Jise Door Se Duniya
Woh Mere Kareeb Hai
Kitna Kuch Kehna Hai
Phir Bhi Hai Dil Mein
Saawal Hai Kahin
Sapno Mein Jo Roj Kaha Hai
Woh Phir Se Kahun Ya Nahi



Aankhon Mein Teri
Ajab Si Ajab Si Adayein Hai
Hoo Aankhon Mein Teri
Ajab Si Ajab Si Adayein Hai

Dil Ko Banade Jo Patang Saa Se
Yeh Teri Woh Haawaien Hai

Tere Saath Saath Esha
Koi Noor Aaya Hai
Chand Teri Roshni Ka
Halka Sa Ek Saaya Hai
Teri Nazaron Ne Dil Ka Kiya Jo Hasar
Asar Yeh Hua

Abb Inmein Hi Doob Ke Ho Jau Paar
Yehi Hai Dua

Aankhon Mein Teri
Ajab Si Ajab Si Adayein Hai
Hoo Aankhon Mein Teri
Ajab Si Ajab Si Adayein Hai

Dil Ko Banade Jo Patang Saa Se
Yeh Teri Woh Haawaien Hai

                                                                        enjoy
[ Read More ]

OLD IS GOLD {Deewana}





--FEMALE--
Aisi deewangi

--MALE--
Hm hmm hm hmm, hm hmm hm hmm

--FEMALE--
Dekhi nahin kahin

--MALE--
Hm hmm hm hmm, hm hmm hm hmm

--FEMALE--
Maine iss liye

Aisi deewangi dekhi nahin kahin
Maine iss liye, jaane jaana, deewana
Tera naam rakh diya, tera naam rakh diya
Haan, naam rakh diya, tera naam rakh diya

--MALE--
Mera naseeb hai jo mere yaar ne
Haske pyaar se, bekhudi mein deewana
Mera naam rakh diya, mera naam rakh diya
Haan, naam rakh diya, mera naam rakh diya

Tune pehli nazar mein sanam mere dil ko churaaya
Oh, tune pehli nazar mein sanam mere dil ko churaaya

--FEMALE--
Oye, duniya se paraayi tujhe apna banaaya

--MALE--
Bina dekhe tujhe ab na aaye qaraar

--FEMALE--
Har ghadi hai mujhe ab tera intezaar
Aisi deewangi dekhi nahin kahin
Maine iss liye, jaane jaana, deewana
Tera naam rakh diya, tera naam rakh diya
Haan, naam rakh diya, tera naam rakh diya

--MALE--
Teri chaahat ki chaandi meri aankhon mein bas gayi - 2

--FEMALE--
Yeh khushboo tere jism ki meri saanson mein bas gayi

--MALE--
Tu meri aarzoo, tu hai meri vafaa

--FEMALE--
Zindagi mein kabhi ab na honge judaa
Aisi deewangi dekhi nahin kahin
Maine iss liye, jaane jaana, deewana
Tera naam rakh diya, tera naam rakh diya
Haan, naam rakh diya, tera naam rakh diya

--MALE--
Mera naseeb hai jo mere yaar ne
Haske pyaar se, bekhudi mein deewana
Mera naam rakh diya, mera naam rakh diya
Haan, naam rakh diya, mera naam rakh diya

--FEMALE--
Jaane jaana, deewana
Tera naam rakh diya
[ Read More ]

Rais Jakaya kikwete atunukiwa Digrii ya Heshima ya Udaktari wa Afya ya Jamii Leo Jijini Dar es Salaam



Baadhi ya wahitimu wa digrii ya Udaktari wa Afya ya Meno(Doctor of Dental Surgery)
 wakila kiapo cha uaminifu na utii wa miiko ya udaktari wakati wa Mahafali ya nne ya Chuo
 Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi,Muhimbili iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo mchana
Rais Jakaya Kikwete akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Afya ya Jamii ya
 Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) na Mkuu wa chuo hicho,
Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kushoto) wakati wa Mahafali ya nne ya chuo hicho yaliyofanyika
Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi, Dk Shukuru Kawambwa
 (kulia)
na Mwenyekiti wa Baraza la chuo hicho, Deogratius Ntukamazina. (Picha na Fadhili Akida)
Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi,Muhimbili Rais Mstaafu, 
Ali Hassan Mwinyi akimtunukia Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete Digrii ya Heshima ya 
Udaktari wa Afya ya Jamii(Doctor of Public Health,Honoris Causa) wakati wa
 mahafali 
ya nne ya Chuo hicho iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto akiangalia ni Makamu
 Mkuu wa Chuo Profesa Kisali Pallangyo.
Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi,Muhimbili Rais Mstaafu, Ali Hassan 
Mwinyi akimpongeza Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya 
kumtunuku 
Digrii ya Heshima ya Udaktari wa Afya ya Jamii(Doctor of Public Health,Honoris
 Causa)
 wakati wa mahafali ya nne ya Chuo hicho iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Picha na 
Fadhili Akida na Freddy Maro/IKULU
[ Read More ]

Diamond na Shavu la Wanamuziki wa Ukweli Lagos Nigeria

 Mwanamuziki Machachari kutoka Nchini Tanzania Diamond(Kulia)akiwa katika picha ya Pamoja na
 Mwanamuziki Maharufu Fally Ipupa
Mwanamuziki Machachari kutoka Nchini Tanzania Diamond(kushoto)akiwa katika pozi la nguvu na
 shoka na Mwanamuziki Mashuhuri kutoka Nchini Marekani Eve nchini Lagos Nigeria.mwanamuziki
Diamond yupo nchini Nigeria kushiriki kwenye Tunzo za Muziki za MTV MAMA.
Mwanamuziki Machachari kutoka Nchini Tanzania Diamond(katikati)akiwa na Wisely na Radio
 Nchini lagos Nigeria mwanamuziki Diamond yupo nchini Nigeria kushiriki kwenye Tunzo za Muziki
 za MTV MAMA.
[ Read More ]

MORNING FOG IN MYSORE





                                                                             8:30
[ Read More ]

[ Read More ]

Kitabu cha Wasifu wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete Chazinduliwa Jijini Dar es Salaam





  Nakala ya kiingereza ya Kitabu cha Wasifu wa Jakaya Kikwete kama 
kinavyoonekana. Picha ya chini ni Profesa Nyang'oro akitia saini nakala
 za 
kitabu hicho zilizogaiwa bure kwa wageni wote waalikwa waliofika kwenye 
hafla hiyo. Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu
 Cha Dar es salaam kuanzia kesho tarehe 10-12-2010 kwa gharama ya
 shillingi 25,000/=
 Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akimshukuru mwandishi wa kitabu 
cha wasifu wake na kuwasihi wana taaluma na 
watanzania wengine kuandika
 vitabu ili historia ya nchi yetu isipotee. Rais Kikwete 
ameyasema hayo wakati akizindua kitabu chake kilichoandikwa 
na Profesa Julius Nyang'oro. 

 Rais Jakaya Kikwete akisaini Vitabu wal;ivyopewa wageni 
mablimbali walioudhuria kwenye uzinduzi wa kitabu hicho 
ikulu jijini
 Dra es Salaa.Kushoto ni Waziri wa Michezo na Habari
  na Vijana
 na Utamaduni Emmanuel Nchimbi akichukua nakala ya kitabu 
chake kilichosainiwa na Rais Jakaya Kikwete.katikati na Waziri Mkuu
 Mstaafu Jaji Joseph warioba
  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa 
Mizengo Pinda na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba wakiongea 
na Profesa Nyang'oro ambaye ndiye mwandishi wa kitabu cha Wasifu wa 
JK wakati wa
 uzinduzi wa kitabu hicho. Kushoto ni Waziri wa Habari, Utamaduni na 
Maendeleo ya Vijana Mheshimiwa Emmanuel Nchimbi akizungumza na Waziri
 wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mheshimiwa Shukuru Kawambwa.
 Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Bwana Beno Malisa akizungumza na
 Miraji Kikwete kwenye uzinduzi wa Kitabu Cha Wasifu wa Jakaya Kikwete Ikulu jij
ini Dar es salaam.
Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akizindua kitabu cha Wasifu wa 
Maisha yake, akishuhudiwa na Mkewe Mama Salma Kikwete na Mwandishi wa 
kitabu hicho Profesa Julius Nyang'oro leo mchana Ikulu, Dar es salaam
Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete Salama Kikwete naealikuwepo kwenye uzinduzi wa 
 kitabu cha Wasifu wa Jakaya Kikwete kilichozinduliwa leo Ikulu Dar es salaam.

[ Read More ]