Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Profesa Mbwete awataka vijana wachangamkie vyuo vikuu.

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Prof. Tolly Mbwete amewataka wanafunzi nchini kuendelea na elimu ya vyuo vikuu hadi mwisho ili kupunguza pengo kubwa la wasomi nchini. Profesa Mbwete alisema Tanzania ya sasa inakabiliwa na upungufu mkubwa wa wasomi kuliko wajinga na kwamba kinachotakiwa ni kwa vijana kujifunga vibwebwe katika elimu ya vyuo vikuu. Alisema kwa mujibu wa utafiti uliofanywa katika

[ Read More ]