Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MCHUMBA WA PREZZO, GOLDIE WAFARIKI DUNIA




Goldie Harvey enzi za uhai wake.
Goldie akiwa na mchumba wake Prezzo.
MWANAMUZIKI kutoka nchini Nigeria, Goldie Harvey ambaye pia ni mchumba wa msanii Prezzo amefariki dunia.

Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya nchini Nigeria, Goldie amefariki dunia akiwa hopitalini nchini humo muda mfupi baada ya kutoka nchini Marekani alipohudhuria tuzo za Grammys. Prezzo hakupatikana kudhibitisha tukio hilo,…
Goldie Harvey enzi za uhai wake.
Goldie akiwa na mchumba wake Prezzo.
MWANAMUZIKI kutoka nchini Nigeria, Goldie Harvey ambaye pia ni mchumba wa msanii Prezzo amefariki dunia.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya nchini Nigeria, Goldie amefariki dunia akiwa hopitalini nchini humo muda mfupi baada ya kutoka nchini Marekani alipohudhuria tuzo za Grammys. Prezzo hakupatikana kudhibitisha tukio hilo, lakini mtu anayesimamia uwekaji habari katika ukurasa wa Facebook wa msanii huyo alidhibitisha kuwa msanii huyo amefariki dunia usiku wa kuamkia leo na kuandikia hivi “Kwa masikitiko makubwa napenda kuwataarifu wote kuwa Goldie amefariki dunia muda mfupi baada ya kuwasili jijini Lagos akitokea Marekani. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi,” Alisema mwekaji habari huyo.
Sababu zilizopelekea kifo cha msanii huyo mpaka sasa bado hazijafahamika.
[ Read More ]

UTOAJI WA VITAMBULISHO VYA TAIFA KWA UPANDE WA ZANZIBAR AWAMU YA KWANZA


06246Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipokea Kitambulisho cha Taifa kutoka
kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Perera Ame Silima,wakati wa
  Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa
Zanzibar,katika  hafla iliyofanyika jana  viwanja vya Baraza la
Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]
IMG_0018Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akikaribishwa na Mkurugenzi Mkuu wa vitambulisho
vya Taifa,Dicson Maimu,alipowasili katika viwanja vya Baraza la
Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,katika Utoaji wa
vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar.[Picha
na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9473Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji,akiweka
kidole Gumba kufanya uhakiki katika mashine maalum,wakati wa Utoaji wa
vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar,katika
hafla iliyofanyika jana katika  viwanja vya Baraza la Wawakilishi
Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9486Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Pandu Ameir
Kificho,akiweka kidole Gumba kufanya uhakiki katika mashine
maalum,wakati wa Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa
upande wa Zanzibar,katika hafla iliyofanyika jana katika  viwanja vya
Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9496Baadhi ya Viongozi na Wananchi,na Wafanyakazi wa
Mamlaka ya vita mbulisho wakiwa katika hafla ya  Utoaji wa
vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar,katika
hafla iliyofanyika jana katika  viwanja vya Baraza la Wawakilishi
Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9511Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania,Jenerali Devis
Mwamunyange, akiweka kidole Gumba kufanya uhakiki katika mashine
maalum,wakati wa Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa
upande wa Zanzibar,katika hafla iliyofanyika jana katika  viwanja vya
Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9735Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akimkabidhi kitambulisho
Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi,wakati wa   Utoaji wa
vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar,  hafla
ilifanyika jana katika  viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje
ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9741Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akimkabidhi kitambulisho Jaji
Mkuu wa Tanzania,Mohamed Chande Othman, wakati wa   Utoaji wa
vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar,katika
hafla iliyofanyika jana  viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani,
Nje ya Mji wa Zanzibar,(kushoto) Naibu waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi Perera Ame Silima,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] 
IMG_9753Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akimkabidhi kitambulisho Jaji
Mkuu wa Zanzibar,Omar Othman Makungu,wakati wa   Utoaji wa
vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar,katika
hafla iliyofanyika jana katika  viwanja vya Baraza la Wawakilishi
Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9779Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akimkabidhi kitambulisho Mama
Maria Nyerere,wakati wa   Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya
kwanza kwa upande wa Zanzibar,  hafla ilifanyika jana katika  viwanja
vya Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]
[ Read More ]