Alhamis kama ya leo tarehe 25 kama ya leo mwezi wa 8 kama wa leo nilizaliwa..Namshuru Allah subhanahu wataallah kwa kuwezesha mm kufika duniani kwa kunijaalia pumzi afya njema,amani na utulivu ndani ya nafsi yangu,kwa kunijaalia mama bora zadi.Nakupenda mama na
[ Read More ]

Sharing this story may save some life,may touch someone's life in a similar related problem,may bring hope to hopeless situation.yawezakua si wewe na unaweza kuchukulia just simple.ila yaweza kumgusa mwenzio na kupelekea ku save maisha yake.. tumekua tukiamka kila leo na kutembea , unaweza kujiona una nguvu na afya tele bila ya kujijua kuwa kuna ugongwa unakula ndani kwa ndani, au unaweza