Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

RATIBA YA MAZISHI YA STEVE KANUMBA

MWILI WA MAREHEMU UNATARAJIWA KUAGWA SIKU YA JUMANNE TAREHE 10 APRIL, NA ATAZIKWA WAPI ANASUBIRIWA MAMA MZAZI WA MAREHEMU MZAZI AMBAYE ANATOKEA SHINYANGA. AKIJA NDO ITAAMULIWA KAMA ATAZIKWA HAPA AU ATASAFIRISHWA . NA KUKIWA NA MABADILIKO TUTAENDELEA KUHABARISHANA R.I.P STEVE KANUMBA 

[ Read More ]

YALIYOJIRI MCHANA SINZA NYUMBANI KWA KANUMBA

wadau Ruge akiwa na waheshimiwa Tajiri mkubwa na mpenda watumpenda filamu,mpira na nkMusa K akiwa amefika kufariji wafiwa monalisa,Millen&Ruge mpaka dakika hii Lulu amekataa kutoa ushirikiano na polisi, akisema anapenda kwanza Lawyer wake afike na chochote atakachoongea kiwe recorded. habari na

[ Read More ]

MAMA MZAZI WA MAREHEMU STEVEN KANUMBA AKIWA SAFARINI KUELEKEA DAR KWENYE MSIBA WA MWANAE...!!!

  Pichani ni Bi Flora Mtengoa, mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba ambaye ameondoka Bukoba san nane mchana kuelekea Dar es Salaam kwa ajili ya msiba wa mwanae Mama yake ameongea na mwana libeneke Nicolaus Ngaiza na kuthibitisha kupokea taarifa za kifo cha mwanae na akasema kuwa jana alipigiwa simu na marehemu akimwambia kuwa " mama nimekutumia nauli uje Dar tuagane nataka

[ Read More ]

ANAEUJUA UNDANI WA KIFO CHA KANUMBA..

[ Read More ]

Mkasi - S02E03 with Steven Kanumba

[ Read More ]

KANUMBA AMEACHA GUMZO KWA WAPENZI WA FILAMU TANZANIA NA AFRICA KWA UJUMLA.

   Ni alfajiri kabisa kama saa 12 hivi watu wengine wakiwa ndio wanaamka na wengine wakienda kulala na kupata mshtuko wa kuondokewa na kipenzi chao kwenye tasnia ya filamu hapa bongo Steven Kanumba nyumbani kwake Sinza Vatcan. Chazo kinasema Kanumba alitoka kuoga na kumkuta Lulu ambaye inasemekana ni wapenzi akiongea na simu ndipo hapo ugomvi ulipoanzia mpaka kanumba kujikuta

[ Read More ]

PICHA ZA MSIBA NYUMBANI KWA KANUMBA

  R.I.P KANUMBA....POLE FAMILIA, POLENI WATANZANIA,POLENI MASHABIKI WA KANUMBA DUNIA NZIMA  imetokezea tu ile picha iliyoiweka kwenye DP ya BBM yake ndio iliyoko sitting kwake  VITU VIMESHATOLEWA SITTING ROOM KUMAANISHA KWELI HATUNAE  KUANGUKA KWA WASANII WENZIE NA KUZIMIA .....Jacquline Wolper huyo                    

[ Read More ]