Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

RATIBA YA MAZISHI YA STEVE KANUMBA

MWILI WA MAREHEMU UNATARAJIWA KUAGWA SIKU YA JUMANNE TAREHE 10 APRIL, NA ATAZIKWA WAPI ANASUBIRIWA MAMA MZAZI WA MAREHEMU MZAZI AMBAYE ANATOKEA SHINYANGA. AKIJA NDO ITAAMULIWA KAMA ATAZIKWA HAPA AU ATASAFIRISHWA . NA KUKIWA NA MABADILIKO TUTAENDELEA KUHABARISHANA

R.I.P STEVE KANUMBA


[ Read More ]

YALIYOJIRI MCHANA SINZA NYUMBANI KWA KANUMBA


wadau
Ruge akiwa na waheshimiwa
Tajiri mkubwa na mpenda watu
mpenda filamu,mpira na nk
Musa K akiwa amefika kufariji wafiwa
monalisa,Millen&Ruge

mpaka dakika hii Lulu amekataa kutoa ushirikiano na polisi, akisema anapenda kwanza Lawyer wake afike na chochote atakachoongea kiwe recorded.
habari na PS.
[ Read More ]

MAMA MZAZI WA MAREHEMU STEVEN KANUMBA AKIWA SAFARINI KUELEKEA DAR KWENYE MSIBA WA MWANAE...!!!

 

Pichani ni Bi Flora Mtengoa, mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba ambaye ameondoka Bukoba san nane mchana kuelekea Dar es Salaam kwa ajili ya msiba wa mwanae
Mama yake ameongea na mwana libeneke Nicolaus Ngaiza na kuthibitisha kupokea taarifa za kifo cha mwanae na akasema kuwa jana alipigiwa simu na marehemu akimwambia kuwa " mama nimekutumia nauli uje Dar tuagane nataka kwenda Marekani."

Picha na habari kwa hisani ya kandayaziwaleo.blogspot
[ Read More ]

ANAEUJUA UNDANI WA KIFO CHA KANUMBA..

[ Read More ]

Mkasi - S02E03 with Steven Kanumba

[ Read More ]

KANUMBA AMEACHA GUMZO KWA WAPENZI WA FILAMU TANZANIA NA AFRICA KWA UJUMLA.

 

 Ni alfajiri kabisa kama saa 12 hivi watu wengine wakiwa ndio wanaamka na wengine wakienda kulala na kupata mshtuko wa kuondokewa na kipenzi chao kwenye tasnia ya filamu hapa bongo Steven Kanumba nyumbani kwake Sinza Vatcan. Chazo kinasema Kanumba alitoka kuoga na kumkuta Lulu ambaye inasemekana ni wapenzi akiongea na simu ndipo hapo ugomvi ulipoanzia mpaka kanumba kujikuta akidondokea kisogo na kutokwa na damu nyingi. Kwa sasa msanii wa kike Lulu anashikiliwa na police kwa maelezo zaidi

Watu wakiwa hawaamini kilichotokea 

 Hata mimi ilikuwa ngumu kuamini kwasababu nilikuwa nachat nae kwenye BBM hadi usiku na kumuuliza sikukuu hii bata tunalila wapi, halafu msg ya mwisho aliniambia kuwa anataka na mimi siku moja niingie kwenye filamu yake daaah.

Msanii Shilole akiwa hajielewi kabisa akiingia nyumbani kwa Marehemu 

Rafiki mkubwa wa marehemu anaitwa Tito yeye ndio alikuwa na mwili wa marehemu hadi hosp ya Mwimbili  

Msanii Johari akiwa kwenye huzuni kabisa akifanya mahojiano ya TV  

 Kijana huyu yeye alipopata habari pale pale alianguka chini

H.Baba akiwasili nyumbani kwa Marehe Steven Kanumba 

Steve Nyerere akiwasili nyumbani kwa marehemu akiwa kwenye majonzi mengi 

Swahiba mkubwa wa Kanumba Ray akiwa mwenye huzuni nyingi 

[ Read More ]

PICHA ZA MSIBA NYUMBANI KWA KANUMBA

 

R.I.P KANUMBA....POLE FAMILIA, POLENI WATANZANIA,POLENI MASHABIKI WA KANUMBA DUNIA NZIMA
 imetokezea tu ile picha iliyoiweka kwenye DP ya BBM yake ndio iliyoko sitting kwake
 VITU VIMESHATOLEWA SITTING ROOM KUMAANISHA KWELI HATUNAE
 KUANGUKA KWA WASANII WENZIE NA KUZIMIA .....Jacquline Wolper huyo


                     KUONA PICHA ZAIDI DUMBUKIA HAPO CHINI




                                        ile kumi alfajiri tayari wasanii karibia wote walishafika



                             watu ni wengiii mnooooo
                             vyombo vya habari karibia kila kona
[ Read More ]