Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

The Obama's Receive The Official White House Christmas Tree.

The Obamas received the Official White House Christmas Tree yesterday.


First Lady Michelle Obama along with daughters Sasha and Malia Obama were spotted in front of the White House full of holiday cheer yesterday.


An after Thanksgiving Day tradition, Mrs. O and her daughters received the 18 1/2-foot Douglas fir that will become the Official White House Christmas Tree. The fir comes from a farm in Lehighton, Pa., belonging to Christopher Botek. This is the second time that a tree from the Botek family farm has become the Official White House Christmas Tree.


The tree was hauled through the White House gates by horse-drawn carriage and will go on display in the Blue Room.
[ Read More ]

CONFIDENTIAL





If you want to travel fast,
 travel alone.
If you want to travel far, travel together 

Surely I do not want to loose you in 2011.   
 

There comes a point in your
 life when you realize:   
Who matter 
Who never did,
Who won't anymore...
And who always will.
So, don't worry about people from your past,
there's a reason why they didn't make it to

 your future.
Give these flowers to everyone you don't

 want to lose in 2011  
including me, if that's what is in your heart.
Try to collect 6 it's not easy! 

SURE! I WANT TO BE WITH YOU IN 2011




[ Read More ]

cheka unenepe.

[ Read More ]

ZANZIBAR HEROES YAANZA VYEMA CECAFA - YAIFUNGA SUDAN 2-0


MCHEZAJI El Rayan Abdallah wa timu ya Taifa ya Sudan (kushoto) akipambana na Sabri Ramadhani  China, Mkongwe wa timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, wakati wa mechi

 Mfungaji wa mabao mawili ya Zanzibar Heroes, Salum Shiboli akishangili bao la pili la timu yake.




                                                  
Ali Shiboli aishangilia baada ya kuwatungua Wasudan

Beki wa Timu ya Taifa ya Zanzibar - Zanzibar Heroes akichuana vikali na mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Sudan Ramadhan Shareef Ferein
Wachezaji wa Zanzibar Heroes wakitoka uwanjani kwa kuwasalimia washabiki wachache waliokuwepo uwanjani

Picha kwa hisani ya Michuzi na Bashir Nkoromo

Timu ya Taifa ya Zanzibar imeanza vyema mashindano ya Cecafa yanayofanyika katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam baada ya kuichabanga timu ya Taifa ya Sudan kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kwanza wa kundi B uliofanyika jana.


Magoli ya Zanzibar Heroes yalifungwa na mchezaji Ali Shiboli ambaye karibuni tu alimwaga wino kuichezea Simba Sports Club ya Dar.

Zanzibar inaongoza katika kundi lake linalojumuisha timu ngumu za Rwanda na Ivory coast. Rwanda pia iliweza kushinda mchezo wake wa kwanza kwa kuifunga Ivory Coast 2-1.

Zanzibar itajitupa tena uwanjani siku ya Jumatano tarehe 01/12/2010 kwa kupambana na Timu alikwa ya Ivory Coast na kumalizia na Timu ya Taifa ya Rwanda hapo tarehe 03/12/2010.

Tuzidi kuipa moyo timu yetu kupata matokeo mazuri kwani ndio njia nzuri ya kutuma ujumbe FIFA kwamba nasi pia tu wakali katika kulisakata kabumbu.
[ Read More ]

WAISLAMU WASIKISHWA NA KUCHOMWA QUR-AN ZANZIBAR







Assalam alaykum

We would like to inform you the very sad news about burning of The Holy Quraan in Zanzibar on the 16th of November at Mombasa Street oposit to SOS village. The attach file is a photos of a man who buring quraan in the open space. My Allah Punish Him in Hell and all behind this plan of intimidating DEEN Of Allah. The man who did his name is Ramadhan Kandar Juma (Christian from KG church of Kariakoo Zanzibar) from Tanzania Mainland from Shinyanga Region Sukuma tribe. Please see the photos of Mr Ramadhan 

Please forward this message to all Muslim around the world

Assalam alaykoum
Huu ni msiba mkubwa kwa wazanzibari na ummah wa kiisalam duniani kote. Kitabu Hiki kitukufu cha Allah kimechomwa moto hadharani siku ya tarehe 16/11/2010 saa mbili usiku katika mtaa wa Mombasa SOS. Mchomaji ni huyo hapo aliyevaa fulana ya rangi nyekundu. Tunakuomba Allah utuhukumie hapa duniani na wale wote waliomtuma kufanya kitendo hiki cha udhalilishaji. Kijana Huyu ni Mfuasi wa kanisa la KG church lililoko eneo la Kariakoo Zanzibar linaloongozwa na Further DIXON. Tunamuomba kila Muumini wa Dini hii ya haki akilaani kitendo hiki cha udhalilishaji. Kijana huyu ni mzaliwa wa Shinyanga Tanzania bara kabila ni msukuma. Alikuwa mkiristu kisha akaingia Uislam na baadae akarudi tena kwenye dini yake ya ukiristu.

Tafadhali samabaza ujumbe huu kwa wailsam wote duniani!
[ Read More ]

Je umewahi kuona Maajabu haya hapa ni Njombe: Mwamba Wenye Ramani ya Afrika



Mwamba huu wenye ramani ya bara la Afrika unaitwa Lwivala, upo katika pori la hifadhi ya msitu Lwivala kijiji cha Igodivaha Wilaya ya Njombe, inaweza isiwe rahisi kuamini lakini huo ndio ukweli wenyewe. Picha kutoka
[ Read More ]

ZINDAGI DO PAL KI


Zindagi do pal ki, zindagi do pal ki
Intezaar kab tak hum karenge bhala
Tumhe pyaar kab tak na karenge bhala
Zindagi do pal ki

Dil mein tumhare chhupa di hai maine to apni ye jaan
Ab tum hi isko sambhalo hume apna hosh kahan
Bekhudi do pal ki, zindagi do pal ki
Intezaar kab tak hum karenge bhala
Tumhe pyaar kab tak na karenge bhala


Ik chota sa vaada iss umar se zyada sachcha hai sanam
Har mod par saath iss liye rehte hain ab dono
Dosti do pal ki, zindagi do pal ki
Intezaar kab tak hum karenge bhala
Tumhe pyaar kab tak na karenge bhala
Zindagi do pal ki, zindagi

have a nice day.
[ Read More ]

Just In: Rais Jakaya Kikwete Ateua Wabunge Wapya Watatu Zakhia Meghji Na Shamsi Vuai Nahodha Waula


Ndugu Shamsi Vuai Nahodha
Zakia Hamdan Meghji
-------------
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete,amefanya uteuzi wa Wabunge watatu(3)kwa mujibu wa Ibara ya 66 (1)(e)ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977, kama ilivyorekebishwa na kupewa mamlaka ya kuteua Wabunge 10.

Wabunge walioteuliwa ni Ndugu Shamsi Vuai Nahodha,Prof.Makame Mnyaa Mbarawa na Ndugu Zakia Hamdan Meghji.

Rais atateua wengine waliosalia siku zijazo.

Rais Kikwete ameshawasilisha majina ya wateule hao kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Anne Semamba Makinda(Mb)kwa ajili ya hatua zipasazo.

MWISHO

Imetolewa na Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,
Ikulu.
Dodoma
17 Novemba, 2010
[ Read More ]

GOOD MORNING, HAVE A NICE DAY.

[ Read More ]

[ Read More ]

My Persian kitten with doll face...so sweet..



[ Read More ]

MAWAZIRI WAAPISHWA IKULU LEO NA RAIS


RAIS wa Zanzibar Akimuapisha Waziri wa Katiba na Sheria Abubakar Khamis Bakari (CUF)

RAIS wa Zanzibar akimuapisha Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Hamad Masoud Hamad. (CUF)

RAIS wa Zanzibar akimuapisha Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ram adhaan Abdalla Shaaban ( CCM)

RAIS wa Zanzibar Dk. Ali Mahamed Shein akimuapisha Waziri wa Afya Juma Duni Haji (CUF)

RAIS wa Zanzibar akimuapisha Waziri wa Ustawiwa Jamii na Maendeleo ya Wanawake na Watoto, Zainab Omar Mohamed (CCM)

RAIS wa Zazibar Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Waziri wa Habari, Utamaduni,Utaliina Michezo. Abdilah Jihad Hassan (CUF)

RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akimuapuisha Waziri wa Ardhi, Makaazi 
Maji  na Nishati Ali Juma Shamhuna. (CCM)


 
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akimuapuisha Waziri wa Kilimo na Maliasili Mansoor Yussuf Himid.( CCM)
RAIS wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Waziri wa Biashara Biashara, Viwanda na Masoko, Nassor Ahmed Mazrui. (CUF )


RAIS wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Waziri wa Mifugo Na Uvuvi Said Ali Mbarouk (CUF)


RAIS wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Waziri wa Kazi, Uwezeshaji, Wananchi na Uchumi Haruon Ali Suleiman (CCM )


 
RAIS wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum Suleiman Othman Nyanga. (CCM)


RAIS Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum Machano Othman Said. (CCM)


 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum Haji Faki Shaali.( CUF )


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekitui wa Baraza la MAPINDUZI Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Naibu Waziri wa Habari Utamaduni,Utalii na Michezo Bihindi Hamad kHAMIS. ( CCM )
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein Naibu Waziri Ardhi, Makaazi, Maji na Nsharti Haji Mwadini Makame. ( CUF )

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapionduzi Dk. AliMohamed Shein akimuapisha Naibu Waziri wa Afya Sira Ubwa Mwamboya. ( CCM )
  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein  akimkabidhi hati yake ya kiapo Naibu Waziri wa Elimu  na Mafunzo ya Amali Zahra Ali Hamad. ( CUF )

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi. ( CCM ) 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed  Shein akimkabidhi hati yake ya kiapo Naibu Waziri wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi. 

NAIBU Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Thuwaiba Edington Kissasiakiapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein.  
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akimkabidhi hati ya kiapo Naibu Waziri wa Wizara ya Biashara,Viwanda na Masoko Thuwaiba Edington Kissasi ( CCM )

WANANCHI  wakihudhuria sherehe za kuapishwa Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar iliofanyika Viwanja vya Ikulu. 
VIONGOZI wa Serikali wakishuhudia kuapishwa kwa Baraza la Mawaziri iliyofanyika Viwanja vya Ikulu Shangani.
[ Read More ]

ADVICE

Don’t ever go into anything because someone
else is making name from it. Go into something
because you have a talent in it. We must try 
and discover our own talents - that is the only 
way to move forward in life.
[ Read More ]

WISH YOU EID AL ADHA MUBARAK.





[ Read More ]