Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

SIMU YA MCHINA YAMLIPUKIA NA KUMUUNGUZA MWILI




Mbunge wa Jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe (kulia) akimjulia hali mfanyabiashara wa mafuta katika Kijiji cha Luilo Ludewa, Joseph Haule ambaye amelipuliwa na mafuta baada ya simu yake ya kichina kulipuka,majeruhi huyo anatibiwa katika Hospital ya Wilaya ya Ludewa, mkoani Iringa.
Filikunjombe na baadhi ya wananchi wakimjulia hali Joseph Haule
Joseph Haule akiwa amelazwa Hospitali baada ya kujeruhiwa vibaya.

[ Read More ]