Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

KAZI NGUMU KUZUIA HOMA YA NGURUWE

Zaidi ya nchi 100 duniani, miongoni mwao Kenya na Uganda, zinakabiliana na shambulio la homa ya nguruwe na sasa Mkuu wa Shirika la Afya Duniani, WHO, Dr Margaret Chan aonya kwamba itakuwa vigumu kujaribu kudhibiti ugonjwa huo.. Alikuwa akihutubia mkutano wa maafisa wa afya ulioandaliwa na Umoja wa Mataifa mjini Cancun, nchini Mexico. Dr Chan alisema

[ Read More ]

Aliyemzushia Mumewe Amembaka Atupwa Jela

Mwanamke mmoja wa nchini Uingereza ambaye alimshtaki mumewe akidai mumewe amembaka ili aweze kuvunja uhusiano wao na kisha ajirushe na mwanaume mwingine amehukumiwa kwenda jela miezi minne. Michaela Lodge, alifanya mapenzi na mumewe Martin katika nyumba waliyokuwa wakikaa pamoja mwezi

[ Read More ]