Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAELFU WAHUDURIA MAZIKO YA MAREHEMU BI KIDUDE.

Jeneza la bibi likielekea msikiti kwa ajili ya kusaliwa Mtangazaji Hassan Bond, Fid Q, Diamond Platnumz na Ruge Mutahaba wakiwa msibani nyumbani kwamarehemu bi Kidude,  Zanzibar Msanii Fid Q, Baraka cousin ya Marehemu Bi Kidude na Hassan Bond Mussa (FID Q ndo alikuwa msanii wa kwanza mkubwa kufika msibani kwa bibi) Ruge mutahaba, Babu Tale and Guru. .......msibani kwa Bi Kidude Guru

[ Read More ]

Bi Kidude Wakati wa Uhai wake

BiKidude akiwa katika viwanja vya Ngome Kongwe wakati wa Tamasha la Sauti za Busara   BiKidude akipinga ngoma aina ya Uyango katika matamasha yanayofanyika Zanzibar katika viwanja vya Ngomekongwe  Mwaka 2005 huko Gateshead, Newcastle nchini Uingereza,Bi.Kidude alipokea tuzo yenye heshima kutoka World Music Expo (WOMEX) kwa mchango wake katika muziki na utamaduni wa Zanzibar.

[ Read More ]