
Kijana mdogo alimuuliza mama yake, "Kwa nini unalia?" mama yake alimjibu "Kwa sababu mimi ni mwanamke,". kijana kwa mshangao akamwambia mama yake "Sielewi,". Mama yake akamkumbatia akamwambia, "Na kamwe, hautaweza kuelewa.""Wanawake wote wanapenda kulia bila sababu za msingi," ndicho baba yake alichoweza kusema.Kijana huyo mdogo alikua akawa mtu mzima, na bado akawa anashangaa kwa nini wanawake