
Inadaiwa kwamba mwanaume anapooa mwanamke ambaye ana mafanikio na ambaye ni msomi au mwenye taaluma, ajue kwamba, ndoa yake imeegeshwa kwenye mawe.Tafiti za hivi karibuni kabisa zinaonyesha kwamba wanawake wenye mafanikio ya kimasomo pamoja na kipato wako kwenye hatari kubwa zaidi ya kupambana na talaka ukilinganisha na wanawake wa kawaida. Siyo hivyo tu, pia wanaonekana kuwa wako kwenye nafasi ya