Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAHAKAMA YATUPILIA MBALI OMBI LA LULU


Lulu (katikati) akiingia mahakamani na askari magereza wa kike.
Kamera zikimfuata kwa shauku.
Hapa ni karibu na mlango wa kuingia katika chumba cha mahakama.
Msanii wa filamu za maigizo nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, leo amepandishwa tena kizimbani mara ya tatu katika kesi ya mauaji ya Kanumba inayomkabili ambapo mawakili wanaomtetea wakiongozwa na Kennedy Fungamtama waliwasilisha ombi la kurekebisha umri wa mshitakiwa huyo kuwa miaka 17 na si 18 kama ilivyowasilishwa mahakamani hapo.
Fungamtama na jopo lake walisema mteja wao ni mtoto mdogo hivyo kesi hiyo ipelekwe mahakama ya watoto na kuwasilisha cheti kinachoonesha ana umri wa miaka 17. Upande wa mashitaka umetupilia mbali ombi hilo na kudai cheti kilichowasilishwa kina mapungufu kadhaa likiwemo jina la Dyana ambalo halijawahi kusikika likitu iwa na mshitakiwa huyo.
[ Read More ]

MKAPA KIZIMBANI MAHAKAMA YA KISUTU


Mkapa akiingia Mahakama ya Kisutu kutoa ushahidi.
Akisindikizwa kuelekea kizimbani.
Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, leo amepanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuhojiwa na mawakili wa serikali na wanaomtetea aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Italy, Costa Mahalu, kwenye kesi ya ufujaji fedha katika ununuzi wa jengo la ubalozi inayomkabili balozi huyo.
Jengo hilo lilinunuliwa kwa shilingi, bilioni 2.9.
PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL
[ Read More ]

TUMSAIDIE WASTARA NA SAJUKI KWENYE HILI















Mimi na wewe tuungane Tumsaidieni ndugu yetu msanii wa filamu SAJUKI anaumwa na


anahitaji kwenda kutibiwa INDIA mapema iwezekanavyo!! Waweza kumchangia kupitia 


AKIBA BANK Account number 050000003047 Jina la mwenye account ni mkewe 


WASTARA JUMA au M PESA Number 0762189592
[ Read More ]

PLEASE MUST READ CAREFULLY.



A 21 year old guy had worn a pair of contact lenses during a barbecue party.(An event or meal at which food is cooked outdoors over an open grill or fire) While barbecuing he stared at the fire charcoals continuously for 2-3 minutes. After a few minutes, he started to scream for help and moved rapidly, jumping up and down. No onein the party knew why he was doing this? Then he admitted into the Hospital, the doctor said he'll be blind permanently because of the contact lenses that he had worn. Contact lenses are made by plastics, and the heat from the charcoal melted his contact lenses.

DO NOT WEAR CONTACT LENSES WHERE OVERHEATING AND FLAMESARE CONCERNED.... OR WHILE COOKING...! Friends, if u feel the information is important, Please like it and pass this message to All your near & dear ones by sharing it on your wall.
[ Read More ]

PRESIDENT OBAMA AKISALIMIANA NA WAJESHI WAKE



[ Read More ]

In Afghanistan, Obama pledges cooperation, vows to 'finish the job'




Kabul, Afghanistan President Barack Obama, speaking early Wednesday in Afghanistan at the tail end of a surprise visit there, discussed how the war will end and promised a steady drawdown of U.S. troops.

Obama committed to pulling 23,000 troops out of the country by the end of summer and sticking to the 2014 deadline to turn security fully over to the Afghan government. He said that NATO will set a goal this month for Afghan forces to be in the lead for combat operations next year.

"We will not build permanent bases in this country, nor will we be patrolling its cities and mountains. That will be the job of the Afghan people," the president said during a speech at Bagram Air Base
[ Read More ]

MASAA 2 BAADA YA OBAMA KUTOKA AFGHANISTAN, MABOMU YALIPULIWA




KABUL, Afghanistan, The Taliban struck back less than two hours after President Barack Obama left Afghanistan on Wednesday, targeting a foreigners' housing compound with a suicide car bomb and militants disguised as women in an assault that killed at least seven people.

It was the second major assault in Kabul in less than three weeks and highlighted the Taliban's continued ability to strike in the heavily guarded capital even when security had been tightened for Obama's visit and Wednesday's anniversary of the killing of al-Qaida leader Osama bin Laden in neighboring Pakistan.

Obama arrived at Bagram Air Field late Tuesday, then traveled to Kabul by helicopter for a meeting with President Hamid Karzai in which they signed an agreement governing the U.S. presence after combat troops withdraw in 2014. Later, back at the base, he was surrounded by U.S. troops, shaking every hand. He then gave a speech broadcast to Americans back home, before ending his lightning visit just before 4:30 a.
[ Read More ]

OBAMA SUPRISE VISIT TO AFGHANISTAN



President Obama akiwasili Kabul Afghanistan unannounced jana, ili kusign na kusisitiza kumaliza Vita nchini humo na kuondoa majeshi ya kimarekani nchini humo.

His unannounced trip was Obama's third visit to Afghanistan since taking office. It coincided with the first anniversary of the U.S. raid that killed Osama bin Laden in neighboring Pakistan, and comes as Obama is fighting for re-election
[ Read More ]