Waumini wa kiislamu wakiomba duwa baada ya kumsalia Baadhi ya waumini waliohudhuria mazikoni wakiitikia duwa iliyokuwa ikiombwa kumuombewa Mzaa Machaprala Sehemu ya umati wa waumini waliohudhuria mazishi wakijipanga kwa ajili ya kuliupokea jeneza lililobeba mwili wa Ustaadh Machaprala WANANCHI wakibeba jeneza lenye mwili wa Marehemu Maulid Machaprala baada ya kusaliwa msikiti
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akishiriki na waumini wengine wa dini ya kiislamu kusalia Jeneza la marehemu Msanii Mzee Maulid Mohammed Machaprala, katika msikiti Nambar,Kisiwandui Mjini Zanzibar leo. Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein,alishiriki katika mazishi ya Msanii maarufu wa muziki wa Taarab,Maulid Mohamed Machaprala,aliyefariki na kuzikwa jana kijijini Bambi,wilaya

MWANAUME mmoja Aron Tilian (40) mkazi wa Kijiji cha Itimu, Kata ya Iwindi mkoani Mbeya amekamatwa na polisi kwa madai ya kufanya unyama kwa kumnyonga mpaka kufa mwanaye mwenye umri wa miaka mitatu na kumzika kwenye shamba la nyanya kisha juu yake kupanda miche ya mmea huo. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika kijiji hicho ambapo baada ya ukatili huo inadaiwa muuaji huyo alipeleka taarifa za

The singer's representative, Cindi Berger, confirmed the births at 12.07pm (5.07pm BST) on Saturday at a hospital in Los Angeles.Ms Berger said the baby girl was born first, weighing 5lbs 3oz and was 18ins tall. Her brother was next, at 5lbs 6oz and was 19ins.Ms Berger said the couple had not named the children yet. Nick drove Mariah to the hospital in their Rolls-Royce Phantom. Ms Berger said the