Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

INNAA LILAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJI'UN - MAULID MOHAMMED MACHAPRALA HATUNAYE TENA

 Waumini wa kiislamu wakiomba duwa baada ya kumsalia  Baadhi ya waumini waliohudhuria mazikoni wakiitikia duwa iliyokuwa ikiombwa kumuombewa Mzaa Machaprala  Sehemu ya umati wa waumini waliohudhuria mazishi wakijipanga kwa ajili ya kuliupokea jeneza lililobeba mwili wa Ustaadh Machaprala WANANCHI wakibeba jeneza lenye mwili wa Marehemu Maulid Machaprala baada ya kusaliwa msikiti

[ Read More ]

DK SHEIN ASHIRIKI MAZISHI YA MACHAPRALA

 Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akishiriki na waumini wengine wa dini ya kiislamu kusalia Jeneza la marehemu Msanii Mzee Maulid Mohammed Machaprala, katika msikiti Nambar,Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.  Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein,alishiriki  katika mazishi ya Msanii maarufu wa muziki wa Taarab,Maulid Mohamed Machaprala,aliyefariki na kuzikwa jana kijijini Bambi,wilaya

[ Read More ]

FOR SALE...

[ Read More ]

HUU NI KATILI.....

MWANAUME mmoja Aron Tilian (40) mkazi wa Kijiji cha Itimu, Kata ya Iwindi mkoani Mbeya amekamatwa na polisi kwa madai ya kufanya unyama kwa kumnyonga mpaka kufa mwanaye mwenye umri wa miaka mitatu na kumzika kwenye shamba la nyanya kisha juu yake kupanda miche ya mmea huo. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika kijiji hicho ambapo baada ya ukatili huo inadaiwa muuaji huyo alipeleka taarifa za

[ Read More ]

Mariah Carey and Nick Cannon have celebrated their third anniversary with another milestone - becoming parents to a baby girl and boy.

The singer's representative, Cindi Berger, confirmed the births at 12.07pm (5.07pm BST) on Saturday at a hospital in Los Angeles.Ms Berger said the baby girl was born first, weighing 5lbs 3oz and was 18ins tall. Her brother was next, at 5lbs 6oz and was 19ins.Ms Berger said the couple had not named the children yet. Nick drove Mariah to the hospital in their Rolls-Royce Phantom. Ms Berger said the

[ Read More ]