Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

POLISI ZANZIBAR WAZIMA JARIBIO KUBWA LA UJAMBAZI

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar, limefanikiwa kuzima jaribio kubwa la ujambazi lilokuwa lifanyike mara baada ya kuchukuliwa kwa mishahara ya watumishi wa hoteli moja ya Kitalii. Afisa Habari wa Jeshi hilo Zanzibar Inspekta Mohammed Mhina, amesema kuwa jaribio hilo limezimwa na Polisi jana Alhamisi Desemba 29, 2011 majira ya saa 7.00 mchana baada ya makachero wa Jeshi la Polisi

[ Read More ]

[ Read More ]

DK SHEIN MGENI RASMI MAHAFALI YA SABA SUZA

DHAMIRA ya kuwa na walimu waliofuzu katika kiwango cha Shahada imeanza kufikiwa na katika kipindi kifupo kijacho walimu wote wa skuli za sekondari hapa Zanzibar watakuwa na Shahada ya Chuo Kikuu.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), aliyasema hayo katika Mahafali ya saba ya Chuo Kikuu hicho

[ Read More ]

VODACOM YAWAFARIJI WAATHIRIKA.

Sehemu ya shehena ya magodoro 430 yaliyotolewa msaada na Vodacom kwa waathirika wa maafa ya Dar es salaam yakiwa tayari kukabdhiwa kwa kamati ya maafa ya mkoa wa Dar es salaam. Mbali na magodoro Vodacom ilikabidhi pia mablanketi 480 na vyakula vyote vikiwa na thamani shilingi 30 milioni kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii wa Vodacom Foundation. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Bw. Sadiq Meck

[ Read More ]

HALI INAZIDI KUWA MBAYA DAR-ES-SALAAM. POLE KWA WALIOPOTELEWA NA NDUGU ZAO PAMOJA NA MALI

Maji yakiwa yamelizingira jengo la Mayfair Plaza.Jengo la hospitali ya TMJ likiwa limezingilwa na maji.Mtoto kikwea ukuta kujisalimisha.Baadhi ya wafanya biashara wa vocha katika eneo la Mayfair Plaza wakiwa juu ya vibanda… Maji yakiwa yamelizingira jengo la Mayfair Plaza. Jengo la hospitali ya TMJ likiwa limezingilwa na maji.Mtoto kikwea ukuta kujisalimisha.Baadhi ya wafanya biashara wa vocha

[ Read More ]

KWA NINI MWANAMKE HULIA?

Kijana mdogo alimuuliza mama yake, "Kwa nini unalia?" mama yake alimjibu "Kwa sababu mimi ni mwanamke,". kijana kwa mshangao akamwambia mama yake "Sielewi,". Mama yake akamkumbatia akamwambia, "Na kamwe, hautaweza kuelewa.""Wanawake wote wanapenda kulia bila sababu za msingi," ndicho baba yake alichoweza kusema.Kijana huyo mdogo alikua akawa mtu mzima, na bado akawa anashangaa kwa nini wanawake

[ Read More ]

World’s Tiniest Teenager Wins Guinness World Record

Jyoti Amge of India has been recognized by Guinness Book of World Records as the world’s shortest woman. Jyoti was known as the world’s shortest teenager until she turned 18 this year. Guinness said in a statement Jyoti has grown less than one centimetre (0.4 inch) in the last two years and will not grow any taller due to a form of dwarfism called achondroplasia. The teenager stands at 24.7 inches

[ Read More ]

Kampuni tano zaomba kujenga daraja Kigamboni

KAMPUNI tano zimejitokeza kuomba zabuni ya ujenzi wa daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam, ambazo moja kati ya hizo ndiyo itakayopewa dhamana ya ujenzi huo mara mchakato huo utakapokuwa umekamilika.Akizungumza wakati wa kufungua zabuni hiyo Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Ludovick Mrosso, alisema awali kampuni saba zilijitokeza kuomba,

[ Read More ]

SIKU YA UKIMWI DUNIANI:MASHINE ZA KUNYOLEA NYWELE HATARI

      Wakati watanzania wakiungana na watu mbalimbali duniani kuadhimisha siku ya UKIMWI duniani Aids Week in Review linaandika:Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii, imesema spiriti inayotumiwa katika mashine za kunyolea na vifaa vya kutengenezea kucha katika saluni za kike na kiume nchini Tanzania, haziui virusi vya Ukimwi. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hadji Mponda

[ Read More ]

WORLD AIDS DAY.Never give up.

Started in 1988, World AIDS Day is not just about raising money, but also about increasing awareness, fighting prejudice and improving education.  World AIDS Day is important in reminding people that HIV has not gone away, and that there are many things still to be done.

[ Read More ]