Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

ZANZIBAR BILA YA UMEME KWA MARA NYENGINE TENA.

-
Rehema Mwinyi.




Tanzania bila Ufisadi tutafika?Je Zanzibar Bila Umeme inawezekana?Kuchaji simu 500,Saluni kichwa 2000,Soda 1000,Juice 500,Barafu 200,Maji ya kawaida hayapatikani,Wanaofaidika sasa ni Wazinifu na wizi,Sasa wewe ulioko nje ukijaribu kupiga simu kwa ndugu zako ZNZ usishtuke zikiwa zimefungwa ufahamu hakuna matatizo ila ni umeme tu.


Waziri wa maji ameshatangaza mapema mwakani (2010) umeme utapatikana,Je tatizo kama hili sasa linataka kupelekwa Pemba?Tayari Mh.Karume ashapokea kila nyenzo za kutandaza umeme kutoka Tanga,lakini Je hafahamu kwanza usipoziba ufa,Utajenga Ukuta?



mdau.

Leave a Reply