Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

SURA ZA HUZUNI NA MAJONZI - BANGALORE-INDIA.

-
Rehema Mwinyi.

Baadhi ya wanafunzi waliokusanyika katika msiba huo wakiwa na nyuso za huzuni.


Sura za Huzuni na Majonzi kwa wanafunzi wa India waliopo Bangalore na Wenzao wa Mysore baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Muwakilishi wa Ubalozi Mr. Amon Mwamunenge juu ya maendeleo ya uchunguzi na taratibu za kusafirisha mwili wa Marehemu Imran Mtui kurudi nyumbani kwa ajili ya mapumziko ya amani.

Leave a Reply